Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,860
- 812
ushauri wa nini wakti umeshasema kwenye hiyo aya ya mwisho kuwa kumuacha mume wa mtu huwezi. ok hii dunia inapita na mambo yake yatapita. ila siku mke wa jamaa akikujua ndo utajua kwanini biblia ilisema uwe na mke/mume 1. maana mshahara wa dhambi ni mauti.