Niko kwenye mood ya malavedavi

Niko kwenye mood ya malavedavi

taratibu kaka nakusoma tu we haya....afro mi ni dada angu pande wa shangazi tumbo moja moja na bibi mpwa wake hamid yaani hami yake rashid upande wa kaka yake na dada......ni hivyo tu basi

nilham hivi una habari na hii kitu au huu undugu????
 
lol!!!!!!! hakuna leo kama dada ako mkutane uchii??? tena nyamaza hashy... we tulia hapa ngoja mi nikamtafute huyu bi dada kweny thred jiran lazma na ye atakuwa akutafuta tuu we kaa hapa hapa....

The Following User Says Thank You to NILHAM RASHED For This Useful Post:

The Finest (Today)​
 
taratibu kaka nakusoma tu we haya....afro mi ni dada angu pande wa shangazi tumbo moja moja na bibi mpwa wake hamid yaani hami yake rashid upande wa kaka yake na dada......ni hivyo tu basi


YAANI USO WA HASHY UNAONYESHA MASHAKA NA WASI WASI MWINGI KABISA
 
ajidai ataka kulia ngoja aje afro hapa kama hata anza kucheka cheka na mkono akautoa kidevuni hapo....

we acha jana hashy alikuwa anaulizwa kama aletewe maua au perfume nikachoka kabisa tena hayo yalikuwa yanafanyika mbele yangu ungekuwepo jana ni kama hashy alikuwa hanijui kabisa
 
we acha jana hashy alikuwa anaulizwa kama aletewe maua au perfume nikachoka kabisa tena hayo yalikuwa yanafanyika mbele yangu ungekuwepo jana ni kama hashy alikuwa hanijui kabisa

ahhaaahhaaa ndo maana ulitaka kuniletea wahuni wa kwa mtogole?
 
na ukome...............sipati picha utakavyokuwa na wewe unapiga goti kwa afro

nimekosewa mimi halafu nipige magoti mimi tena ngoja akuje leo yaani ni malumbano na maneno wala sijiweki pembeni na wala siepushi msongamano
 
haaaaa!!! wanambia kweli basi finest nyamaza yanitosha haya wazidi kuniumiza,,,,basi,, i cant,,,,
we acha jana hashy alikuwa anaulizwa kama aletewe maua au perfume nikachoka kabisa tena hayo yalikuwa yanafanyika mbele yangu ungekuwepo jana ni kama hashy alikuwa hanijui kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom