hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
mmmmhhhhh kwa kweli...
na x-mass ikiisha je patafanana na wapi ndugu yangu lol??
same old kwa bi nyau! karibu sinza lakini!
mmmmhhhhh kwa kweli...
na x-mass ikiisha je patafanana na wapi ndugu yangu lol??
Ndiyo napiga za mwisho mwisho kabla ya kwenda kwenye Retreat!
Anywayz Beer is the proof that God Loves us
hahahahahahah lol kwa kweli naona umechangamka na moja leo lol
I feel sorry for people who don't drink. When they wake up in the morning, That's as good as they're going to feel all day.
me like ur signature very much...
The courses of true love never did run smooth
same old kwa bi nyau! karibu sinza lakini!
hahahahah lol
umenikumbusha kipindi cha nyuma
pale uliponiambie nije kukutemblea..
eti nipande daladala inayoelekea sinza niteremkie kwenye daraja bovu
karibu na kwa bibi Nyau...
halafu nitembee krudi nyuma halafu ntaona makaburi halafu nikate kulia nitakuona...
hahahahahah alol
Me too like AD signature:
hahahahahah BE na wasiwasi Kimey kakufundisha mautundu ya counter ya juu lol...
maanake mmhh inaonekana umekuwa mtaalum sana ..
na evidence zote unazo lol
hahahahhaha lolarty:
ndo bado naishi huko huko! promise me utanitembelea siku moja!
mmmmhhhhh ulinitisha sana.....
Mi huko sina hamu ya kuja ..
Labda tu unipokee hapo kwenye daraja bovu...
Mi sipiti makaburini mwenyewe..
Maana nilikuomba tukutane kwingine ukakataa ..
Ukasema unataka tukutane sinza nyumbani kwenu ...hutaki kwenda kwenye sehemu nzuri ambayo haina maana yeyote lol
mmmmhhhhh ulinitisha sana.....
mi huko sina hamu ya kuja ..
labda tu unipokee hapo kwenye daraja bovu...
mi sipiti makaburini mwenyewe..
maana nilikuomba tukutane kwingine ukakataa ..
ukasema unataka tukutane sinza nyumbani kwenu ...hutaki kwenda kwenye sehemu nzuri ambayo haina maana yeyote lol
:whoo::whoo:
hahahahh lol naona umefurahi sana ...
Ungetoa hata neno moja ingekuwa afadhali lolarty:
Vipi lakini maandalizi yameisha???
usha ona?
they are just watching!
l.o.l
kwingine sitaki kuaibika mie....huko makwenu mwachunguzana hadi washikaje kijiko cha chakula!
usha ona?
They are just watching!
L.o.l
kwingine sitaki kuaibika mie....huko makwenu mwachunguzana hadi washikaje kijiko cha chakula!
just watching
hahahahah lol ... (oohhh dont worry about that)
haya tukubaliane unakuja kunipokea kwenya daraja bovu..
halafu mi ntakuja..lol
ohooo!!!!!!!! Bado yanaendelea bana we acha siku zinavyozidi kukaribia ndio watu tunazidi kupotea taratibu
siku ukivua hiyo miwani ntafurahi sana maana kuwa na macho manne unaona sana lol
hahahahahalolarty: