Niko kitandani siku ya pili Sasa Baada ya kukutana na huyu Dada

Niko kitandani siku ya pili Sasa Baada ya kukutana na huyu Dada

gwego1

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2023
Posts
281
Reaction score
1,012
Wakuu wasalaam.

Moja kwa moja kwenye mada! Iko hivi juzi nilibutua pesa nikaamua kwenda Mwanza Kujipa pole nikatoka huku Geita vijijini Nikale Maisha kidogo.

Nikafikia kiwanja kimoja kinaitwa climax badae nikapata mtoto nikaenda kupoa nae!

Nilitumia mpila lakini Ile ya foreplay sijui nilishika kwenye nanilii yake nikashika na kwangu asalaee

Hapa napoandika huu Uzi kwenye Uume kumetokea vipele ambavyo vinatoa majimaji na vinauma hatari siku nzima sijatoka hata nje.

Ushauri hawa watu wakuokota kwenye mabar inabdi tuwaache!.
Sasa Mimi hapa mke wangu nitamwambia nn.?

Ama kweli majuto ni mjukuu.
 
Wakuu wasalaam.

Moja kwa moja kwenye mada! Iko hivi juzi nilibutua pesa nikaamua kwenda Mwanza Kujipa pole nikatoka huku Geita vijijini Nikale Maisha kidogo.

Nikafikia kiwanja kimoja kinaitwa climax badae nikapata mtoto nikaenda kupoa nae!

Nilitumia mpila lakini Ile ya foreplay sijui nilishika kwenye nanilii yake nikashika na kwangu asalaee

Hapa napoandika huu Uzi kwenye Uume kumetokea vipele ambavyo vinatoa majimaji na vinauma hatari siku nzima sijatoka hata nje.

Ushauri hawa watu wakuokota kwenye mabar inabdi tuwaache!.
Sasa Mimi hapa mke wangu nitamwambia nn.?

Ama kweli majuto ni mjukuu.
ukipona usirudie uzinzi, kwa sababu gonjwa hilo aidha upone au usipone, linaendaga taratibu ivyo hivyo mwisho mdudu anaona na anakatika, au anabaki kipisi. soon tutakua na mwana jf asiye na zana. pole sana.
 
Wakuu wasalaam.

Moja kwa moja kwenye mada! Iko hivi juzi nilibutua pesa nikaamua kwenda Mwanza Kujipa pole nikatoka huku Geita vijijini Nikale Maisha kidogo.

Nikafikia kiwanja kimoja kinaitwa climax badae nikapata mtoto nikaenda kupoa nae!

Nilitumia mpila lakini Ile ya foreplay sijui nilishika kwenye nanilii yake nikashika na kwangu asalaee

Hapa napoandika huu Uzi kwenye Uume kumetokea vipele ambavyo vinatoa majimaji na vinauma hatari siku nzima sijatoka hata nje.

Ushauri hawa watu wakuokota kwenye mabar inabdi tuwaache!.
Sasa Mimi hapa mke wangu nitamwambia nn.?

Ama kweli majuto ni mjukuu.
Nunua pisi mbili za bangi uende nazo kwa mkeo huku unavuta.Akikuuliza kuhusu ukurutu/,upele isingizie bangi imekupatia allergy.Case closed!
 
Wakuu wasalaam.

Moja kwa moja kwenye mada! Iko hivi juzi nilibutua pesa nikaamua kwenda Mwanza Kujipa pole nikatoka huku Geita vijijini Nikale Maisha kidogo.

Nikafikia kiwanja kimoja kinaitwa climax badae nikapata mtoto nikaenda kupoa nae!

Nilitumia mpila lakini Ile ya foreplay sijui nilishika kwenye nanilii yake nikashika na kwangu asalaee

Hapa napoandika huu Uzi kwenye Uume kumetokea vipele ambavyo vinatoa majimaji na vinauma hatari siku nzima sijatoka hata nje.

Ushauri hawa watu wakuokota kwenye mabar inabdi tuwaache!.
Sasa Mimi hapa mke wangu nitamwambia nn.?

Ama kweli majuto ni mjukuu.
Utakoma. Shauri yako😂
 
Wakuu wasalaam.

Moja kwa moja kwenye mada! Iko hivi juzi nilibutua pesa nikaamua kwenda Mwanza Kujipa pole nikatoka huku Geita vijijini Nikale Maisha kidogo.

Nikafikia kiwanja kimoja kinaitwa climaxa badae nikapata mtoto nikaenda kupoa nae!

Nilitumia mpila lakini Ile ya foreplay sijui nilishika kwenye nanilii yake nikashika na kwangu asalaee

Hapa napoandika huu Uzi kwenye Uume kumetokea vipele ambavyo vinatoa majimaji na vinauma hatari siku nzima sijatoka hata nje.

Ushauri hawa watu wakuokota kwenye mabar inabdi tuwaache!.
Sasa Mimi hapa mke wangu nitamwambia nn.?

Ama kweli majuto ni mjukuu.
Kwanza kama hayajavuka Masaa 72, wahi Kituo Cha Afya, upewe Dawa ya kuzuia maambukizi ya Virusi vya UKIMWI.

Hiyo ni Herpes , Herpes inawapata sana wenye UKIMWI
 
Wakuu wasalaam.

Moja kwa moja kwenye mada! Iko hivi juzi nilibutua pesa nikaamua kwenda Mwanza Kujipa pole nikatoka huku Geita vijijini Nikale Maisha kidogo.

Nikafikia kiwanja kimoja kinaitwa climax badae nikapata mtoto nikaenda kupoa nae!

Nilitumia mpila lakini Ile ya foreplay sijui nilishika kwenye nanilii yake nikashika na kwangu asalaee

Hapa napoandika huu Uzi kwenye Uume kumetokea vipele ambavyo vinatoa majimaji na vinauma hatari siku nzima sijatoka hata nje.

Ushauri hawa watu wakuokota kwenye mabar inabdi tuwaache!.
Sasa Mimi hapa mke wangu nitamwambia nn.?

Ama kweli majuto ni mjukuu.
Kawahi CTC kabla ya masaa 72
 
Mademu bwana. Unajua kabisa dude lako Lina vilui lui na na corrosive acid na Kila mtu akigusa hapo hapo matatizo yanaanza ila kwa makusudi unavaa mawigi, unaweka makope, unapaka ma makeup, unanyoa kipichjmanyoya hicho chenye matatizo, unavaa kofuli nyeupee, bambataa nalo limo, ona Sasa mnavyowatesa vijana hao kwa kuwauzia kwa makusudi tatizo hilo

Na wewe dogo acha kutumia mipira inayotolewa Bure kwenye ma gest , ma vyuo na vyoo vya ma bar zenye majina ya ndume sijui zana hizo hazina ubora zinapaduka lakini ukinunua kuanzia roughrider ni imara Sana. Na ukiibua dude lisilojulikana usiguse kabisa kwa MKONO dude lake unaweza kujifanganya kwa mpira lakini kidole kikawa na mchubuko kikawabeba. CAVEAT EMPTUR
 
Wakuu wasalaam.

Moja kwa moja kwenye mada! Iko hivi juzi nilibutua pesa nikaamua kwenda Mwanza Kujipa pole nikatoka huku Geita vijijini Nikale Maisha kidogo.

Nikafikia kiwanja kimoja kinaitwa climax badae nikapata mtoto nikaenda kupoa nae!

Nilitumia mpila lakini Ile ya foreplay sijui nilishika kwenye nanilii yake nikashika na kwangu asalaee

Hapa napoandika huu Uzi kwenye Uume kumetokea vipele ambavyo vinatoa majimaji na vinauma hatari siku nzima sijatoka hata nje.

Ushauri hawa watu wakuokota kwenye mabar inabdi tuwaache!.
Sasa Mimi hapa mke wangu nitamwambia nn.?

Ama kweli majuto ni mjukuu.
Kama sii chai, em weka picha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom