Chuga wenyewe siku hizi wanamwita mshambaAnaimbaga Pumbaaaaaaaa, ingekuwa siyo kubebwa kichuga chugaa wala tusingemjua
What do you stand for? In this commentIla sisi watanzania tuna roho mbaya sana....hating is what we do best. shame
Nawewe utakuwa kundi la Niki ujuaji mwingi mbele gizaWatu wanaangalia pesa, nyinyi mnaleta ushabiki maandazi. Yule mtoto wa Kichagga anatafuta pesa yake na maisha yake. Kuwa na elimu na kuwa na IQ kubwa ni vitu viwili tofauti pambana na hali zenu
Ukiona ivo ujue keshatofautiana nao,hahahKwa hiyo wadau hamjawahi kusikia nyimbo nzuri za nikki wa pili?
Mkuu educated wapi?Niki anajipendekeza sana kwa clouds, yaani kuna media anazokuwa anabagua kwakifupi ana ji do yeye ndio the best educated artist kumbe wapo wakali zaidi yake
Taaruma =Taaluma.Elimu za kuunga unga na degree zakikuda taaruma isiyo na future.
Jamaa upo ?dunia iweke tuzo za wachukiaji... bongo kuna watu wana vipaji
Inaweza kuwa Ni magumashi yuleArudishe vyeti kwa wahusika tafadhari
If you don't see it you may be the source of problems for himI don't see the logic behind, it's just envy
Nimetaja uli kuonesha mambo makubwa anayofanya kulinganisha na uyo Niki aliefika chuo ila amejaa ujingaKulikuwa hakuna haja ya kutaja darasa aliloishia
Chuga Wap wanamuita mshamba na wanimpact gani wakimuita hilo jina..Chuga wenyewe siku hizi wanamwita mshamba
Chuga ukiitwa mshamba ujue wamekudharau sana
Hate for what? Ningekuwa hater ningemchukia diamond kwasabab mziki umempa kila kituHaters