Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Kwa kifupi haeleweki, kiwili wili chake na elimu yake Ni vitu viwili tofautiTweeet zake huwa zinashangaza sana aiseee,elimu yake ina shida kidg.
Kwa kifupi haeleweki, kiwili wili chake na elimu yake Ni vitu viwili tofautiTweeet zake huwa zinashangaza sana aiseee,elimu yake ina shida kidg.
Angalia mfano fid Q pamoja na kuishia form four Lakin angalia utungaji wake wa mashairi had Unaweza kusikiliza nyimbo moja
Kama hiyo ndiyo IQ bhasi wewe una ndogo zaidi kuliko yeyePamoja na kuwa na elimu ila hajui kuandika..Tweets zake zina mapungufu makubwa kiuandishi..kwenye neno linaloanza na 'a' anaweka "ha"..Anachanganya "r' na "l"..Pili hajui kutenganisha sentensi au kutumia commas, nukta n.k
Unaposoma tweets unaweza kupata maswali kama elimu ilikuwa mubashara au bora liende na mwisho wa siku kwenye karatasi inasomeka PHD..
Kama unachuki binafsi, ni heri useme tu, mie namwona yuko poa, kusoma haina maana utawazidi binadamu wengine, kila mtu anafasi yake
Kusoma sio kufanikiwa mkuu ingekuwa hivyo wasomi wote wangekuwa matajirinick wa pili hata mimi simuelewagi.. anaongeaga sana kuhusu fursa ila anachofanya hakionekani..
hivi ana hata genge kweli??
diamond hata form 4 hana.. ila anayoyafanya tunayaona kampuni nzuri wcb.. ajira kibao ametoa na bado wasafi fm, na wasafi tv nazo njiani... na hana maneno mengi bali vitendo vingi
nick wa pili hata mimi simuelewagi.. anaongeaga sana kuhusu fursa ila anachofanya hakionekani..
hivi ana hata genge kweli??
diamond hata form 4 hana.. ila anayoyafanya tunayaona kampuni nzuri wcb.. ajira kibao ametoa na bado wasafi fm, na wasafi tv nazo njiani... na hana maneno mengi bali vitendo vingi
Niki anajipendekeza sana kwa clouds, yaani kuna media anazokuwa anabagua kwakifupi ana ji do yeye ndio the best educated artist kumbe wapo wakali zaidi yake
Niki akili ndogo Sema ruge humgeuza fursa kukaa pale mbele
Sinajua wa Tanzania wakimuona msanii
Pamoja na kuwa na elimu ila hajui kuandika..Tweets zake zina mapungufu makubwa kiuandishi..kwenye neno linaloanza na 'a' anaweka "ha"..Anachanganya "r' na "l"..Pili hajui kutenganisha sentensi au kutumia commas, nukta n.k
Unaposoma tweets unaweza kupata maswali kama elimu ilikuwa mubashara au bora liende na mwisho wa siku kwenye karatasi inasomeka PHD..
Sifikirii kama unavyofikiria mimiHahahahahaaa aiseee kuna watu na viatu. Imewaumaaa eee yule mliyedhan jembe la ukawa kageuka shoka la serikali duh
Hivi kuwa na elimu ndio kutweet vizuri bhasi sawaTweeet zake huwa zinashangaza sana aiseee,elimu yake ina shida kidg.
Mistari ya watu hiyodunia iweke tuzo za wachukiaji... bongo kuna watu wana vipaji
Elimu yake imemsaidia nini ??? Hana lolote tuko nae Sinza hapa kapanga....Binadamu mnachuki sana. Et ana IQ ndogo
Msanii aliyejitahdi bila kubweteka na kuongeza elimu yake ni sifa kubwa. Anachukua PhD soon nadhani hata baba yako hana wala mtu yoyote kwenye familia yako
Ana umaarufu usio na maana kwake na kwa jamiiHata mjinga anaweza kuwa maarufu. Na umaarufu peke yake haukufanyi mwerevu.
Wivu humua mjinga mafanikio huna kwa kupenda unachofanya vipi ulikuwa unataka akuimbie nyimbo unazozipenda weweAnaimbaga Pumbaaaaaaaa, ingekuwa siyo kubebwa kichuga chugaa wala tusingemjua
Akiongea kitu against serikali anaitwa jembe ana akili sana akiongea kitu kinachoipendelea serikali anaonekana mchumia tumbo aiseee
Wenye akili zilizipitiliza unawajua? au unajifurahisha!Ana akili zilizopitiliza.