kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,089
Kuna post ya Maria Sarungi inayozungumzia kutangazwa kwa habari za convicted rapists (Babu seya na mwanae) kusamehewa na habari ya Tundu Lissu.
Sasa Nikki wa Pili kadakia na kuanza kulaumu media kama CNN na BBC zinavyochochea machafuko na kuhamasisha unyonyaji. Mashambulizi anayopata huko si salama kwake.
Watu wanampiga kwa fact mpka anakosa cha kujibu na kuishia kuwaambia wajenge hoja wakati hoja zimejengwa akawa ana wayawaya tu.
Sasa Nikki wa Pili kadakia na kuanza kulaumu media kama CNN na BBC zinavyochochea machafuko na kuhamasisha unyonyaji. Mashambulizi anayopata huko si salama kwake.
Watu wanampiga kwa fact mpka anakosa cha kujibu na kuishia kuwaambia wajenge hoja wakati hoja zimejengwa akawa ana wayawaya tu.