Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
Katumwa kutetea upumbavu.
mmeruhusiwa kutumia simu shuleni au bando hujafika shule????Mkuu kashambuliwa kwa mapanga na marungu ama nini
Bar moja pale Kinondoni Manyanya, alibakariHuko Tweeter ndio wapi Buguruni au?
Ha ha ha maisha bila unafiki hayaendi.Akiongea kitu against serikali anaitwa jembe ana akili sana akiongea kitu kinachoipendelea serikali anaonekana mchumia tumbo aiseee
Siku hizi ni mwendo wa kutafuta kuonekana....Anatafuta mheshimiwa amuone
Wewe na nani?Nikki wa pili nimsanii wa wapi mbona atumjui
Ila akiongea facts anaitwa MCHOCHEZI cyo?????.Akiongea kitu against serikali anaitwa jembe ana akili sana akiongea kitu kinachoipendelea serikali anaonekana mchumia tumbo aiseee
Unaleta habari za mtaani kwako na kuandika utadhani wote ni wakaazi wa hapo Kwenu! Andika maelezo ambayo kila mwana JF ataelewa. Kama ni mambo ya msimbazi na jangwani yantuhusu nini sisi tulioko Serengeti?Kuna post ya Maria Sarungi inayozungumzia kutangazwa kwa habari za convicted rapists (Babu seya na mwanae) kusamehewa na habari ya Tundu Lissu.
Sasa Nikki wa Pili kadakia na kuanza kulaumu media kama CNN na BBC zinavyochochea machafuko na kuhamasisha unyonyaji. Mashambulizi anayopata huko si salama kwake.
Watu wanampiga kwa fact mpka anakosa cha kujibu na kuishia kuwaambia wajenge hoja wakati hoja zimejengwa akawa ana wayawaya tu.
hahahaaa...halafu anajiona bonge la msomiMwanaume unasoma sayansi ya jamii..aarrrggg
Huyu dogo ni Nanga sanaKuna post ya Maria Sarungi inayozungumzia kutangazwa kwa habari za convicted rapists (Babu seya na mwanae) kusamehewa na habari ya Tundu Lissu.
Sasa Nikki wa Pili kadakia na kuanza kulaumu media kama CNN na BBC zinavyochochea machafuko na kuhamasisha unyonyaji. Mashambulizi anayopata huko si salama kwake.
Watu wanampiga kwa fact mpka anakosa cha kujibu na kuishia kuwaambia wajenge hoja wakati hoja zimejengwa akawa ana wayawaya tu.
Na alikipataANATAFUTA CHEO
ccm hawatoi vyeo bureNa alikipata