kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,460
- 4,167
Awali ya yote, ningenda kumpongeza Dr Samia Suluhu kwa kuendesha Kampeni za kistaarabu. Mama wa watu hatukani mtu wala hatwezi utu wa mtu.
Tuje kwenye point ndugu zangu watanzania wenzangu, siku za hivi karibuni nimepatwa na changamoto flani, yani nikiwa faragha na jinsia ya kike tunafanya mambo ya kikubwa, basi kuna changamoto huwa naipata, changamoto yenyewe ni hii, wakati nakula mzigo yani napampu mashine yangu kwenye maku, basi huwa natokewa na hali ya kuhema sana.
Sasa hii hali inanitisha kidogo,je niko normal au ntakua na tatizo gani?
Tuje kwenye point ndugu zangu watanzania wenzangu, siku za hivi karibuni nimepatwa na changamoto flani, yani nikiwa faragha na jinsia ya kike tunafanya mambo ya kikubwa, basi kuna changamoto huwa naipata, changamoto yenyewe ni hii, wakati nakula mzigo yani napampu mashine yangu kwenye maku, basi huwa natokewa na hali ya kuhema sana.
Sasa hii hali inanitisha kidogo,je niko normal au ntakua na tatizo gani?