Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 6,613
- 11,891
😅😅 vijana wa mamaUnashabikia CCM halafu unauliza kama upo normal,utakuwaje normal sasa?🤔
Hata kinga ya mwili wako imeona kwamba inapambania takataka inakutengenezea mazingira ukate pumzi udedi maana hauna faida.
Ukiwa na roho mbaya hata mwili wako utakubadilikia. Mtizame kwanza Labubu wahedi mkubwa wewe.
Labubu labulabu labubu labubu labulabu labubuUnashabikia CCM halafu unauliza kama upo normal,utakuwaje normal sasa?🤔
Hata kinga ya mwili wako imeona kwamba inapambania takataka inakutengenezea mazingira ukate pumzi udedi maana hauna faida.
Ukiwa na roho mbaya hata mwili wako utakubadilikia. Mtizame kwanza Labubu wahedi mkubwa wewe.
Hayo ndio madhara ya kumshadadia 🕑100Awali ya yote,ningenda kumpongeza Dr Samia Suluhu kwa kuendesha Kampeni za kistaarabu...Mama wa watu hatukani mtu wala hatwezi utu wa mtu.
Tuje kwenye point....ndugu zangu watanzania wenzangu,siku za hivi karibuni nimepatwa na changamoto flani,yani nikiwa faragha na jinsia ya kike tunafanya mambo ya kikubwa,basi kuna changamoto huwa naipata,changamoto yenyewe ni hii,wakati nakula mzigo yani napampu mashine yangu kwenye maku,basi huwa natokewa na hali ya kuhema sana.
Sasa hii hali inanitisha kidogo,je niko normal au ntakua na tatizo gani?
Wala mzigo wa mama mpaka wanahema😅😅 vijana wa mama
Atakuwa hamjui Labubu huyu😂😂😂😂Labubu labulabu labubu labubu labulabu labubu
Poa mkuuInaonesha huna mazoezi Mkuu!
Fanya mazoezi ya kukimbia na push-up japo mara tatu Kwa wiki, utaona progress
Kama umri wako utakuwa umesogea kama sisi Wazee wenu, basi mweke huyo binti aikalie kwa juu
Sina tumbo kama lileKama una tumbo ka yule mwekezaji Chavayo sijui hiyo kawaida tu,
Kila kipaji kinaenda mahali pake.
We tafuta hela honga, acha vijana mitaani wamle mkeo.
Utakufa ukikomaza kichwa na tumbo lako hilo ka gunia la mpunga toka mbarali kwa mwashambwa.
Poa mkuuFanya mazoezi kila siku hata kama ni kidogo ,ila hakikisha kila siku unafanya mazoezi ya mwili.
Kisa?Utakufa vibaya wewe
Niko poa tu,chuma napiga fresh tu.Haupo fit!
Kama yapi?Fanya mambo mengine utaacha kuhema.
Shida sana watu wa humuWatu mnataka mpk ushahidi wa picha😂
Ambayo hayatakufanya kuhema.Kama yapi?
SawaAmbayo hayatakufanya kuhema.
Kaenda zanzibar kufanya kampeni, sio ulivyodanganywa wewe na akina Mange.Huyo unaemsifia nasikia yuko hoi,karudi garage zanzibar.