EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Hivi ukawa Mod leo mtu wa kwanza Kumpa Burn ni nani?
Mimi naanza na ....foxy
Niliiandika kwenye thread nyingine. Naamini the the best way kuiweka JF kwenye standard ya juu kabisa ni kila member kuwa Mod. Sina maana ya kupewa cheo cha U Mod. Bali kukemea wale wanaoharibu JF na kuwapa changamoto wageni wote. JF ni yetu wote. Ndio sisi tutakaoijenga au kuibomoa. Sio wale Mods wenye vyeo pekee. Tukiwaachia wao, kazi itawashinda. Ni ngumu sana ku moderate forum kama hii bila kupata usaidizi toka kwa members wenyewe. Kwa hiyo ukiona mtu ana abuse thread, badala ya kusepa, bofya kifute chekundu cha "Report Abuse". By doing that tayari wewe ni Mod.