EBENEZA MT
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 264
- 50
Ungekuwa mod jamvi lisingekuwa na mtu ungebaki wewe tu usiyekosea.Burn ya tatu wewe.
Ungekuwa mod jamvi lisingekuwa na mtu ungebaki wewe tu usiyekosea.Burn ya tatu wewe.
Sijui nilisahauje. Yaani wewe ni No. Moja kwenye list ya Burn. Natamani hata Nichangishe pesa kutoka kwa members huku kuwezesha mawasiliano na Mods upewe burn hata sasa hivi.
Hivi ukawa Mod leo mtu wa kwanza Kumpa Burn ni nani?
Mimi naanza na ....foxy
kudos Rev ila huyu vivian anafanyakusudi..Bila shaka unatembea na viberiti ama a small bunsen burner wa ajili ya burning! You can only be banned from crazy MODS
Bila shaka unatembea na viberiti ama a small bunsen burner wa ajili ya burning! You can only be banned from crazy MODS
Simple minded thread mwanamama katafute mtu akutoe weekendHivi ukawa Mod leo mtu wa kwanza Kumpa Burn ni nani?
Mimi naanza na ....foxy
..naanza kumpa Burn ..Mchungaji wng Masanilo
sababu kuacha KONDOO. wake tunazurura hovyo..mpk tumfuate huku..
Aisee mheshimiwa mtumishi kwa hili lazima niku 'dipu' na kuku- bipu, vivian anatembea na kiberiti makusudi a-burn watuBan si Burn!