Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,981
- 14,751
Vaa nguo zenye heshima, unavaa mitambala halafu unaenda kukutana na watu waliokuzidi umri, poor you.....
Mss, hakuna vazi linaloitwa uchi, karibu uwe mke wa pili kama itapendeza.Aisee hata kuvaa uchi we sawa tu?
Ningekuwa nimeolewa hili swali ningemuuliza mr jibu lake lingetosha
Hata watu wazima wa saivi wanatuelewa vijana tuko zama tofauti na zao ila tatizo ni sisi vijana tunawaogopa wao wakati wao tyari wanatujua kabisa kua mioyo yetu inataka nini.
Vaaa hivyo hivyo usiangalie kulia wala kushoto..wazazi wenyewe wanatuelewa ndio zama zetu hizi so hata usiogope kufkiriwa vinginevyo..we vaa kiheshima usipendeze alafu aje mwenzako avae umini wa maana kitumbo wazi then utaona kama hajasifiwa yeye kapendeza..
Vazi la heshima kbsa hilo alafu unawaza..put it on NENDA
Aisee hata kuvaa uchi we sawa tu?
Ningekuwa nimeolewa hili swali ningemuuliza mr jibu lake lingetosha
Haha asante kwa hio nafasi mkuu ila Hapana
Uvae nguo itakayo ondoa matamanio usije gegedwa siku hio hio.First date unatakiwa uvaaje?
Vaa kitakacho kupendeza usijali watakao sema furahia maisha yako.Wenye vitambi tuvae nini?
Aiseeee umependeza ukimaliza shughuli nicheki tutoke out.
Mguu wako kwenye avatar na hiyo picha yatosha kwenda kulipa mahariNina kama masaa mawili ya kufanya maamuzi
View attachment 1184235
Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with some of my colleagues ambao ni watu wazima kidogo ndio maana nipo sensitive.
Mimi sio mtu ninaejali haswa watu watasema nini kunihusu lakini katika hili nipo dilema
Update
Asanteni nimevaa hivyo hivyo
View attachment 1184439