Nikivaa hivi ni sawa?

brenda18

JF-Expert Member
Sep 17, 2013
5,687
5,268
Nina kama masaa mawili ya kufanya maamuzi
IMG_0591.JPG


Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with some of my colleagues ambao ni watu wazima kidogo ndio maana nipo sensitive.
Mimi sio mtu ninaejali haswa watu watasema nini kunihusu lakini katika hili nipo dilema

Update
Asanteni nimevaa hivyo hivyo
View attachment 1184439
 
Kama hiyo picha ndio wewe haina tatzo, ila kama sio ww inawezekana ukivaa nguo ya namna hiyo isikukae kama ilivyo kwenye hiyo picha.
Nina kama masaa mawili ya kufanya maamuzi
View attachment 1184235

Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with some of my colleagues ambao ni watu wazima kidogo ndio maana nipo sensitive.
Mimi sio mtu ninaejali haswa watu watasema nini kunihusu lakini katika hili nipo dilema
 
Kama hiyo picha ndio wewe haina tatzo, ila kama sio ww inawezekana ukivaa nguo ya namna hiyo isikukae kama ilivyo kwenye hiyo picha.

Imenikaa hivyo hivyo
Tatizo kiuwazi kimezidi kidogo
 
Nina kama masaa mawili ya kufanya maamuzi
View attachment 1184235

Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with some of my colleagues ambao ni watu wazima kidogo ndio maana nipo sensitive.
Mimi sio mtu ninaejali haswa watu watasema nini kunihusu lakini katika hili nipo dilema
umefanana Bibi cheka aliyechangamka.
 
Nina kama masaa mawili ya kufanya maamuzi
View attachment 1184235

Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with some of my colleagues ambao ni watu wazima kidogo ndio maana nipo sensitive.
Mimi sio mtu ninaejali haswa watu watasema nini kunihusu lakini katika hili nipo dilema
Vaaa kimini utatoka poa,chura ionekane
 
Kama first date hapana.
Kama unakwenda kwenye sherehe ya kazini peke yako hapana lakini upo na mume/boyfriend ipo poa tu.
Niwe mkweli hapa kama kazini kwako kuna fisi wakokwe hawatokuwacha salama next week.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Ungeweka na picha yako ndio tungekushauri vizuri,

Usijekuta ngozi limebabuka na kukakamaa halafu uiche wazi.. joking
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom