brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,268
Nina kama masaa mawili ya kufanya maamuzi
Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with some of my colleagues ambao ni watu wazima kidogo ndio maana nipo sensitive.
Mimi sio mtu ninaejali haswa watu watasema nini kunihusu lakini katika hili nipo dilema
Update
Asanteni nimevaa hivyo hivyo
View attachment 1184439
Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with some of my colleagues ambao ni watu wazima kidogo ndio maana nipo sensitive.
Mimi sio mtu ninaejali haswa watu watasema nini kunihusu lakini katika hili nipo dilema
Update
Asanteni nimevaa hivyo hivyo
View attachment 1184439