Mary luciani
Member
- May 8, 2014
- 58
- 12
Jamani Wana Mmu Mna Mambo!Hapana Chezea!
Afadhali. Maana nilihisi niko mwenyewe.
Sawa ntakubeba, kwani boksa si nguo pia. Ndani ndio vizuri nje aibu
Miss Chagga atanitoa rohoHaya bwana. Mzima wewe. ukitaka kuirudia research yako niko free anytime.
Huko tena ndio usiombee. Ukinikuta ninavyoshungulika hutaamini ni mimi. Kibaunsa nafanya lakini inategemea na kifaa nilichonacho. Kuna siku moja nilikua namgegeda demu nikajaribu kumbeba nilianguka kidogo nivunjike kiuno. Basi nikajifanya et , "Ah hizi tiles zinateleza" kumbe hamna kitu.
Yaani najikuta tu natembea kama baunsa yaani kuna kamwendo flani hivi ambako sio kangu, maringo sio maringo, kibabe sio kibabe. especially kama tunaingia sehemu yenye watu wengi alafu kifaa kiwe mpingo. Nakumbuka kuna msichana mmoja alishanishushua akaniambia "kwani ukitembea normal kuna shida gani" maana na huu wembamba alafu natembea kibabe eti. Kwa kweli nimejaribu kuwa normal nimeshindwa. labda nikiowa.
shosti ndio hao wanaojionyesha vidume njiani wakifika chumbani wanasingizia mlio wa kitanda unaondoa stimu, hivyo kibamia lala
Mwanamke ana nguvu sana, unaweza fanya hata tukio la ajabu sana na hata ukiambiwa urudie kufanya hutothubutu, hapo ndipo nguvu ya mwanamke inapoonekanaYaani najikuta tu natembea kama baunsa yaani kuna kamwendo flani hivi ambako sio kangu, maringo sio maringo, kibabe sio kibabe. especially kama tunaingia sehemu yenye watu wengi alafu kifaa kiwe mpingo. Nakumbuka kuna msichana mmoja alishanishushua akaniambia "kwani ukitembea normal kuna shida gani" maana na huu wembamba alafu natembea kibabe eti. Kwa kweli nimejaribu kuwa normal nimeshindwa. labda nikiowa.