Nikitembea na mwanamke mwendo unabadilika...

Nikitembea na mwanamke mwendo unabadilika...

Unatembea kifua mbele ka umepigwa ngumi ya mgongo! Haaaa haaaa haaaa
 
Yaani najikuta tu natembea kama baunsa yaani kuna kamwendo flani hivi ambako sio kangu, maringo sio maringo, kibabe sio kibabe. especially kama tunaingia sehemu yenye watu wengi alafu kifaa kiwe mpingo. Nakumbuka kuna msichana mmoja alishanishushua akaniambia "kwani ukitembea normal kuna shida gani" maana na huu wembamba alafu natembea kibabe eti. Kwa kweli nimejaribu kuwa normal nimeshindwa. labda nikiowa.
Hiyo ndo safi na unaongeza kidogo na uso wa mbuzi a.k.a sura ya fata-mambo-yako ....ili raia yeyote asithubutu kujipendekeza!

Ila usizidishe saana
 
heeeeeheeeeeheeee kumbe unaogopa ngumi tena basi kaa mbali na mitembeo ya kibaunsa maanake wengine wakishaona mtu antembea kibabe tu na ana kisu cha moto pembeni lazima atesti zali,heeeeeeheeeeeeheeeeeee mbio za hapo tembea ya kibabe yote mfukoni.
Hehehehe. Ni kweli lakini. na navyoogopa ngumi.
 
benteke have mercy on my ribs

i love jf.
long live jf
 
Last edited by a moderator:
benteke have mercy on my ribs

i love jf.
long live jf

Hehehe,pole. yeah, long live jf. its a great place to be, huwa inaniondoleaga stress, maana huyu mwindi haipiti dakika mbili bila kuniita, betekee fanya nini sasa veve, vatu ya tra pigia zimu mimi sasa, mimi tafukuza kazi veve beteke.
 
Yaani najikuta tu natembea kama baunsa yaani kuna kamwendo flani hivi ambako sio kangu, maringo sio maringo, kibabe sio kibabe. especially kama tunaingia sehemu yenye watu wengi alafu kifaa kiwe mpingo. Nakumbuka kuna msichana mmoja alishanishushua akaniambia "kwani ukitembea normal kuna shida gani" maana na huu wembamba alafu natembea kibabe eti. Kwa kweli nimejaribu kuwa normal nimeshindwa. labda nikiowa.

Haahahhahaha nimecheka sana mkuu....asante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom