Nikitembea na mwanamke mwendo unabadilika...

Nikitembea na mwanamke mwendo unabadilika...

benteke

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
1,305
Reaction score
1,069
Yaani najikuta tu natembea kama baunsa yaani kuna kamwendo flani hivi ambako sio kangu, maringo sio maringo, kibabe sio kibabe. especially kama tunaingia sehemu yenye watu wengi alafu kifaa kiwe mpingo. Nakumbuka kuna msichana mmoja alishanishushua akaniambia "kwani ukitembea normal kuna shida gani" maana na huu wembamba alafu natembea kibabe eti. Kwa kweli nimejaribu kuwa normal nimeshindwa. labda nikiowa.
 
Yaani najikuta tu natembea kama baunsa yaani kuna kamwendo flani hivi ambako sio kangu, maringo sio maringo, kibabe sio kibabe. especially kama tunaingia sehemu yenye watu wengi alafu kifaa kiwe mpingo. Nakumbuka kuna msichana mmoja alishanishushua akaniambia "kwani ukitembea normal kuna shida gani" maana na huu wembamba alafu natembea kibabe eti. Kwa kweli nimejaribu kuwa normal nimeshindwa. labda nikiowa.
Haaaaa haaaa haaaaaa! dah!
 
Heheee..... Kama nakuona vile unavyotembea kwa kujitutumua..!!
 
Haaaaaaahaaaaaaahaaaaaaa benteke banah bora utembee kawaida ila linapokuja swala la kuvamiwa kidume unapigana ile mbaya utaosha kwa huyo mwanamke wako mpaka visivyoosheka kuliko kutembea kibabe afu zali linapotokea nduki za hapo au unakuwa mdogo kama piritoni.
 
Last edited by a moderator:
Haaaaaaahaaaaaaahaaaaaaa benteke banah bora utembee kawaida ila linapokuja swala la kuvamiwa kidume unapigana ile mbaya utaosha kwa huyo mwanamke wako mpaka visivyoosheka kuliko kutembea kibabe afu zali linapotokea nduki za hapo au unakuwa mdogo kama piritoni.

Hehehehe. Ni kweli lakini. na navyoogopa ngumi.
 
Hiyo ni kawaida kwa mwanaume, ukiwa na dem mkali lazima utembee kwa maringo. Hata ukioa na unajidai kuwa na mke wako! Ni pozi tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom