BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
Ukizoea utaacha
Je kitandan nako huwa unafanya kibaunza??hahahaaa
Huko tena ndio usiombee. Ukinikuta ninavyoshungulika hutaamini ni mimi. Kibaunsa nafanya lakini inategemea na kifaa nilichonacho. Kuna siku moja nilikua namgegeda demu nikajaribu kumbeba nilianguka kidogo nivunjike kiuno. Basi nikajifanya et , "Ah hizi tiles zinateleza" kumbe hamna kitu.
Huko tena ndio usiombee. Ukinikuta ninavyoshungulika hutaamini ni mimi. Kibaunsa nafanya lakini inategemea na kifaa nilichonacho. Kuna siku moja nilikua namgegeda demu nikajaribu kumbeba nilianguka kidogo nivunjike kiuno. Basi nikajifanya et , "Ah hizi tiles zinateleza" kumbe hamna kitu.
Kupo, ila mgongoni. tatizo unawaza pesa sana wewe mpaka watu unaokutana nao wanakua sio watundu.
Sasa si mtakua chiu, wallet utachukua akienda kuoga.
shosti ndio hao wanaojionyesha vidume njiani wakifika chumbani wanasingizia mlio wa kitanda unaondoa stimu, hivyo kibamia lalahaa haa haa unajiona kidume cha mbegu....
Yaani najikuta tu natembea kama baunsa yaani kuna kamwendo flani hivi ambako sio kangu, maringo sio maringo, kibabe sio kibabe. especially kama tunaingia sehemu yenye watu wengi alafu kifaa kiwe mpingo. Nakumbuka kuna msichana mmoja alishanishushua akaniambia "kwani ukitembea normal kuna shida gani" maana na huu wembamba alafu natembea kibabe eti. Kwa kweli nimejaribu kuwa normal nimeshindwa. labda nikiowa.