Mwenyewe automatically nimejikuta hivyo.
Hasa mjini labda nikienda village.
Sababu ni ratiba. Sipendi kibadili ratiba zangu kisa mtu mwingine. Muda wa kuongea na watu wangu wa karibu, napenda kusoma sana na sipendi kelele. Siangalii TV, aina ya vyakula ninavyotaka vitawapa shida, napenda kuandika, Napenda maombi ya Muda mrefu, napenda kusikiliza Hymnals.
Yote hayo mara nyingi kila ninapoenda naonekana wa ajabu
Nikafikia kwa ndugu yangu, picha linaanza siku ya kwanza nyumba nzima wamefunga(fasting)namimi wanataka nifunge nikawakubalia kishingo upande.
Alfajiri ya saa kumi na moja naamshwa kwenye maombi, hamna kitu sipendi kama kuamshwa alfajiri, kulivopambazuka nikafua kashati kangu, mida ya tea tukagonga tea, ikaja kusoma bibilia tulivomaliza kusoma nikoga nikavaa shati langu nikabeba rasket yangu huyooo nikayeya.
Nilipanga kukaa siku tatu lakini ilinilazimu kuondoka, yaani nishindwe kuvuta embassy kisa ulokole wenu.
Mimi Huwa sipendi kushikuru yaani umetoka kuoga Asante,umekula Asante,umetoka chooni Asante, sipendi
Hahahaha,kwa hiyo walikua hawagombanii chumbani kwao?Pole.Niliwahi kwenda mkoa fulani nikamtaarifu ndugu yangu kuwa nitakuwa huo.....akanisihi sana nifikie kwake....nikaona haina shida......aisee nilijuta ule uamuzi........
Nilikuwa najiweza hata kukaa hotel lakini nikasema nisimkwaze ndugu yangu.....
Nafika pale mapema kidogo tunapiga Stori za hapa na pale muda wa kulala napelekwa chumba cha watoto na humo kuna watoto kama wanne na wawili natakiwa kulala nao......
Vyakula sasa ndio adhabu......nilikuwa kila asubuhi nikienda kwenye mambo yangu namuachia jamaa kiasi cha pesa ili aongezee kwenye bajeti yao ili tufurahie maisha..... lakini matokeo yake mkewe anatulisha vitu vya ajabu......
Kila siku ugomvi na mkewe mimi ndio muamuzi....muda mwingine ugomvi ukizidi hakupikwi......
Nilikaa pale kama wiki hivi niliona kama nimekaa mwezi........
Kwa sifikirii tena kufikia kwa mtu nikisafiri.......
Serious?mazingira yote hupendi kushukuru au ugenini Tu?Mimi Huwa sipendi kushikuru yaani umetoka kuoga Asante,umekula Asante,umetoka chooni Asante, sipendi
Angalau wewe una sababu za msingi.Mwenyewe automatically nimejikuta hivyo.
Hasa mjini labda nikienda village.
Sababu ni ratiba. Sipendi kibadili ratiba zangu kisa mtu mwingine. Muda wa kuongea na watu wangu wa karibu, napenda kusoma sana na sipendi kelele. Siangalii TV, aina ya vyakula ninavyotaka vitawapa shida, napenda kuandika, Napenda maombi ya Muda mrefu, napenda kusikiliza Hymnals.
Yote hayo mara nyingi kila ninapoenda naonekana wa ajabu
Watanzania kwanini hatupendi kuficha aibu zetu au ni kutojali na kukosa busara.Niliwahi kwenda mkoa fulani nikamtaarifu ndugu yangu kuwa nitakuwa huo.....akanisihi sana nifikie kwake....nikaona haina shida......aisee nilijuta ule uamuzi........
Nilikuwa najiweza hata kukaa hotel lakini nikasema nisimkwaze ndugu yangu.....
Nafika pale mapema kidogo tunapiga Stori za hapa na pale muda wa kulala napelekwa chumba cha watoto na humo kuna watoto kama wanne na wawili natakiwa kulala nao......
Vyakula sasa ndio adhabu......nilikuwa kila asubuhi nikienda kwenye mambo yangu namuachia jamaa kiasi cha pesa ili aongezee kwenye bajeti yao ili tufurahie maisha..... lakini matokeo yake mkewe anatulisha vitu vya ajabu......
Kila siku ugomvi na mkewe mimi ndio muamuzi....muda mwingine ugomvi ukizidi hakupikwi......
Nilikaa pale kama wiki hivi niliona kama nimekaa mwezi........
Kwa sifikirii tena kufikia kwa mtu nikisafiri.......
Wewe una shukuru Moyoni? Hata Mungy huwezi kumshukuru Moyoni akakubali sembuse binadamu.Mimi Huwa sipendi kushikuru yaani umetoka kuoga Asante,umekula Asante,umetoka chooni Asante, sipendi
Dah!Watanzania kwanini hatupendi kuficha aibu zetu au ni kutojali na kukosa busara.
Mtu unajua una matatizo nyumbani unakaribisha wageni wa nini?
Tangu enzi za Musa na Ibrahimu Mgeni anakarimiwa sio tu kwa chakula kizuri bali mazingira, maneno na maelewano ya amani.
Sasa unajua kabisa wewe na Mke wako ni Chui na paka. Nafasi ya kulala huna unamkaribisha mtu wa nini?
Mbona mimi nilikaa miaka kibao sijawahi karibisha hata ndugu( sitaki maneno maneno mara ooh anajifanya mjanja) na nikaishi kwa uhuru na raha hadi nilipojipata.
Mke pia anatakiwa kulinda heshima ya Nyumba( familia) hata kama kuna maugomvi una nyuti mbele za wageni.
Umeona eeh.... Ukiwa huna uwezo au una matatizo kwako ni kheri usipende kukaribisha watu hadi hapo ukijaliwa unless kwa emergency tuDah!
Yaani ndugu we Acha tu...... ilikuwa mpaka muda mwingine nachelewa kurudi ili niepuke ile aibu......
Hii imeendaHii nakubalii Mzee.,