Innocenthezron
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 393
- 469
Mwenzio yupo kazini huku hajaja kuuliza Jf
Hahahahahahahahahah mkuu daaaa uyo jamaa ni ana loo mbaya na inaonekana kijiji kizima wanamuogopa maana wote wamekaa pembeni
Mwenzio yupo kazini huku hajaja kuuliza Jf
Uhusiano wa kumgonga na chai upo wapi?? Huyu mwanamke ni kiazi. Mpasue.Dah... Unamgonga vizuri Lakini?..... Isijekuwa unagusagusa tu
Dinaaaaaa.... lol....Acha uvivu si upike chai mwenyeweee,kwani mnaoa ili mpikiwe?
Dah... Dawa yao ndiyo... Ukimgonga vizuri unapata shikamoo nyingiii... na chai utanyeshwaUhusiano wa kumgonga na chai upo wapi?? Huyu mwanamke ni kiazi. Mpasue.
We endelea kuongea na sisi huku hadi atakapokuwa amerudi.
Mwandalie chakula jion kabisa. Utakuwa umempiga kupita maelezo.
Usisahau kutuletea mrejesho ukifuata ushauri huu.
Mkuu kodi ya meza uliacha???? tuanze hapo kwanza.
Bonge la point mkuu umekomaa aseeMrudishe kwao akafunzwe kwanza.
Kopo na mfuniko.....