Nikipiga tena huyu mwanamke ntakuwa nakosea?

We endelea kuongea na sisi huku hadi atakapokuwa amerudi.
Mwandalie chakula jion kabisa. Utakuwa umempiga kupita maelezo.
Usisahau kutuletea mrejesho ukifuata ushauri huu.
 
Walah ruhusa ningetoa ila akirud anamkuta mwenzie anaandaa chai lunch mpka Dina sitak upuuz
 
We endelea kuongea na sisi huku hadi atakapokuwa amerudi.
Mwandalie chakula jion kabisa. Utakuwa umempiga kupita maelezo.
Usisahau kutuletea mrejesho ukifuata ushauri huu.

Hahahaahaha mi ata kupika siwezi kabisa si bora ata nisijue maana mama ntilie siku hizi wanatuwezesha
 
Hizi thread za jamiiforum kuna jinsi zinavonijengaa mimi.kwa kweli bado nipo nipo sanaa tu
 
Yeye ndio chef wako???

Jamani unashindwa kutengeneza hata chai???

Acha tu hao wanawake wawapande vichwani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom