Huyu mwanamke ananipa wakati mgumu sana kumuelewa

jjs2017

JF-Expert Member
May 25, 2019
2,023
4,213
Herini ya siku kuu ndugu zangu bila kujali dini na wakaribisha wote tusherekee pamoja.

Yapata muda mrefu sasa tokea nimempata huyu dada na kua nae na mahusiano ya kimapenzi, kama mwanaume najua heri ukosee vyote lakini sio kuoa.

Huyu bi dada aliniahidi mengi ikiwemo kunipenda na kweli nayaona hayo ana jali sana, ila cha kushangaza kumsoma ni ngumu sana kutokana na haya ya fuatayo;

1.hayupo open sana yani ni mtu wa short end clear

2. Sio mwongeaji kabisa , hata nikiwa nae haongei mpaka nianzishe stori na nitajikuta naongea mwenyewe tuu huku yeye akiwa msikilizaji tuu

3. Ukimuuliza jambo majibu yake mengi yapo closed.. yaani ya ndio au hapana au ok
4. Ni mkimnya sana mpaka inashangaza kabisa
5. Haonyeshi kucheka kabisa hata ukipiga stori za kumfurahisha, anaonyesha umakini sana hata ukiongea nae na yupo serious sana kupita kiasi

Naombeni msaada hapa maana sio mtu anaefunguka kabisa yani ni ngumu sana kumuelewa kwa kweli ananipa mtihani mkali sana ndugu zangu.
 
Huyo Ni mzuri, atakutunzia Siri za ndani👇🏾

 
Hao wengi huwa ni zuga hasa kama anajua nia yako unataka kumuoa. Ukishaingiza ndani tu utashangaa tabia tofauti ukutegemea, akiwa mropokaji, mpiga kelele yaani mama makelele. Usimchunguze wewe tumia wengine wamchunguze ukipata taarifa tatu zinazofanana ziamini. Kipimo kingine kizuri wachunguze wazazi wake ni wa aina gani, mtoto urithi tabia ya mama kwa 80% kwa maana ndie ushinda nae mda wote.
Wachunguze rafiki zake ni wa aina gani.
Usione wanaume wanashinda bar mda wote au kwenye mipira na TV wameacha home wanakimbia makelele ya wanawake.
 
Huyo Ni mzuri, atakutunzia Siri za ndani👇🏾

Acha hizo usimpotoshe mtu,wote huwa ni malaika mwanzoni akiingia ndani ugeuka shetani.
 
Hao wengi huwa ni zuga hasa kama anajua nia yako unataka kumuoa. Ukishaingiza ndani tu utashangaa tabia tofauti ukutegemea, akiwa mropokaji, mpiga kelele yaani mama makelele. Usimchunguze wewe tumia wengine wamchunguze ukipata taarifa tatu zinazofanana ziamini. Kipimo kingine kizuri wachunguze wazazi wake ni wa aina gani, mtoto urithi tabia ya mama kwa 80% kwa maana ndie ushinda nae mda wote.
Wachunguze rafiki zake ni wa aina gani.
Usione wanaume wanashinda bar mda wote au kwenye mipira na TV wameacha home wanakimbia makelele ya wanawake.
Sawa mkuu nashukuru, nitafanyia kazi ndugu zangu
 
𝑯𝒂𝒋𝒊𝒔𝒊𝒌𝒊𝒊 𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒉𝒖𝒓𝒖 𝒂𝒏𝒂𝒑𝒐𝒌𝒖𝒘𝒂 𝑵𝒂𝒘𝒆
𝑲𝒖𝒏𝒂 𝒉𝒂𝒍𝒊 𝒃𝒊𝒏𝒂𝒇𝒔𝒊 𝒛𝒊𝒏𝒂𝒛𝒐𝒎𝒍𝒂𝒛𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒏𝒂𝒘𝒆!!
 
Herini ya siku kuu ndugu zangu bila kujali dini na wakaribisha wote tusherekee pamoja.

Yapata muda mrefu sasa tokea nimempata huyu dada na kua nae na mahusiano ya kimapenzi, kama mwanaume najua heri ukosee vyote lakini sio kuoa.

Huyu bi dada aliniahidi mengi ikiwemo kunipenda na kweli nayaona hayo ana jali sana, ila cha kushangaza kumsoma ni ngumu sana kutokana na haya ya fuatayo;

1.hayupo open sana yani ni mtu wa short end clear

2. Sio mwongeaji kabisa , hata nikiwa nae haongei mpaka nianzishe stori na nitajikuta naongea mwenyewe tuu huku yeye akiwa msikilizaji tuu

3. Ukimuuliza jambo majibu yake mengi yapo closed.. yaani ya ndio au hapana au ok
4. Ni mkimnya sana mpaka inashangaza kabisa
5. Haonyeshi kucheka kabisa hata ukipiga stori za kumfurahisha, anaonyesha umakini sana hata ukiongea nae na yupo serious sana kupita kiasi

Naombeni msaada hapa maana sio mtu anaefunguka kabisa yani ni ngumu sana kumuelewa kwa kweli ananipa mtihani mkali sana ndugu zangu.
Hebu nipe namba yake. Nilikuwa namtafuta siku nyingi sana mwanamke anaejitambua kama yeye
 
Oa mwanamke anaekupa positive energy, mwanamke mwenye kibali ukiishi na huyu mambo yako yanaenda tu, utashangaa KILA ufanyalo linafanikiwa, pesa ipo, amani ya moyo ipo, migogoro kidogo. Angalia asili chimbuko la mtu anatoka aina ipo ya familia. Maana ukikosea utaishia jela, mochwari au kuwa mlevi, mzinzi au utakimbia kabisa nyumba watoto wateseke.
Hao wanawake wenye tabia zote zile ngumu sisi positive na wenye ufahamu wa saikolojia na tabia za watu ndio tunaweza ishi nao bila shida.
 
Huenda akiongea huwa anapitiliza na kuongea yasilini. Kwahiyo option yakutokuongea inafanya awe salama. Lakini watu aina ya mtu wako ni wabaya kwenye maamuzi yaani akiamua ameamua hakuna wa kumzuia. Kama akiamua kutenda jambo hata Kama umemuoa utastukia utekelezaji tu ila mipango hushirikishwi.
 
Hao wengi huwa ni zuga hasa kama anajua nia yako unataka kumuoa. Ukishaingiza ndani tu utashangaa tabia tofauti ukutegemea, akiwa mropokaji, mpiga kelele yaani mama makelele. Usimchunguze wewe tumia wengine wamchunguze ukipata taarifa tatu zinazofanana ziamini. Kipimo kingine kizuri wachunguze wazazi wake ni wa aina gani, mtoto urithi tabia ya mama kwa 80% kwa maana ndie ushinda nae mda wote.
Sio kweli!
Mara nyingi Wanawake wakimya (introvert) hubadirika pindi tu wanapoingia Kwenye ndoa kwa ajili ya sababu kuu mbili.
  1. Akishaingia ndoani huko naye anakuta mitabia yako ya ajabu ajabu ambayo anaikalia kimya mpaka anashindwa kuvumilia. Anaanza kuongea sasa. Halafu kwanini hua mnaona Wanawake tu ndio wanaweza kuficha tabia zao?? Wakati me pia hua na mitabia yao ya ajabu ambayo huificha ili Mwanamke asichomoe. We're all pretenders when we want something from other.
  2. Hii ndio sababu ya msingi zaidi. Kila Mwanamke introvert akishazaa tu lazima awe muongeaji(Extrovert) maana yeye ndio mwalimu na mlezi mkuu wa watoto lazima aongee nao na wampigishe kelele kwa matukio yao.
So sioni kama ni hoja ya mashiko kwamba kila Mwanamke hua anajifanya mpole na kuficha tabia zake ili apate ndoa. Ni kitu wanaume wamekariri japo yawezakua kweli kwa baadhi yao hufanya hivyo.

Ila kama unauelewa wa masula ya Personalities za watu na Behavioral models zao huwezi kufikia kwenye hitimisho hiyo! Kwamba Wanawake wakimya hujifanyisha ili wapate ndoa ila ukimuoa wanaanza kuongea sana
 
Laiti kama watu wote wasingekuwa wanaficha tabia zao uchumbani kitu kinachoitwa talaka kisingekuwepo. Au wazazi wangekuwa wawazi kueleza tabia za watoto upande wa pili watu wasingeharibu vyeti vyao vya ndoa.
Unakuta mtu anajifanya malaika akiingia tu kwenye ndoa anageuka shetani hadi unajuta, anakuwa na tabia nje ya mkataba. Wewe kama ni mlevi, mzinzi, tapeli, muongo,mgomvi,mpigaji, hasira, mchawi nk onyesha weakness zote kwa mwenza wake hata wazazi nao waeleze weakness za watoto wao upande wa pili Ili mtu aamue kuchukua goma au kuacha kwa kupima anaweza himili tabia hizo?
Maana hata ukijifanya ndoa Hakuna feki life kule ni real, kama ulikuwa unaazima pamba, badili magari Ili kumvuta mtu itajulikana, kama ulimdanganya wewe ni meneja kumbe ni mlinzi, mhudumu tu haijifichi hio vitaonekana kifuatacho ni kuachana kwann usiwe muwazi tangu mwanzoni?.
Unakuta binti KILA binti wa ibada kweli , anakataa pesa ingia nae kwenye ndoa SAsa na kanisa kwake kituo cha police, anasachi hadi chenji mfukoni ukirudi.
Uchumbani binti nyumba safi usafi KILA kona baada ya ndoa KILA kitu kaachiwa dada unapishana na nguo chafu koridoni,mke yupo bize na chating siku hizi wanawake hawafanyi wajibu wao ndani,wameachia kina dada KILA kitu dada wao wanaogopa kuharibu makucha na makeups zao za kishetan.
Haya mambo ndio uleta kuachana. Ukiingia kwenye mkataba wa ndoa na mtu aitakiwi ubadilike kama alivyokupenda uchumbani uwe hivyo hivyo ndoani. Hii itaepusha talaka.
Wazazi msifiche tabia za watoto wenu upande wa pili, sio kusherekea tu send off na harusi mkijua awafiki mbali, talaka ni aibu kuliko hata kuchelewa kuoa/ kuolewa. Thus unakuta mwezi tu watu wameachana.
Wajibu wa mke ndani ya nyumba ni zaidi ya ngono,ngono hata nje unanunua,wajibu ni kuangalia familia,mke ni katibu wa mume,Kazi ya mume ni kutunza familia ( kutafuta pesa) . Mwanaume ni ATM ya familia na ATM ikikosa pesa ni SAwa na gari zuri lisilo na mafuta.
WATU WASIJUFANYE MALAIKA KISHA UGEUKA SHETANI.
 
Sio kweli!
Mara nyingi Wanawake wakimya (introvert) hubadirika pindi tu wanapoingia Kwenye ndoa kwa ajili ya sababu kuu mbili.
  1. Akishaingia ndoani huko naye anakuta mitabia yako ya ajabu ajabu ambayo anaikalia kimya mpaka anashindwa kuvumilia. Anaanza kuongea sasa. Halafu kwanini hua mnaona Wanawake tu ndio wanaweza kuficha tabia zao?? Wakati me pia hua na mitabia yao ya ajabu ambayo huificha ili Mwanamke asichomoe. We're all pretenders when we want something from other.
  2. Hii ndio sababu ya msingi zaidi. Kila Mwanamke introvert akishazaa tu lazima awe muongeaji(Extrovert) maana yeye ndio mwalimu na mlezi mkuu wa watoto lazima aongee nao na wampigishe kelele kwa matukio yao.
So sioni kama ni hoja ya mashiko kwamba kila Mwanamke hua anajifanya mpole na kuficha tabia zake ili apate ndoa. Ni kitu wanaume wamekariri japo yawezakua kweli kwa baadhi yao hufanya hivyo.

Ila kama unauelewa wa masula ya Personalities za watu na Behavioral models zao huwezi kufikia kwenye hitimisho hiyo! Kwamba Wanawake wakimya hujifanyisha ili wapate ndoa ila ukimuoa wanaanza kuongea sana
Wengi wao,ukimya wao means kuna udhaifu wanaficha. Kumbuka uchumbani watu ukutana mda mchache Sana tofauti na ndoani mda mwingi ulazima kuwa pamoja so ni rahisi mtu kupreatend kwamba ni mkimya au mpole.
Mtu yeyeto aishi nje ya asili yake. Labda tu aamue kujistructure kwa msaada wa dini au elimu ( kustaarabika)
 
Sio kweli!
Mara nyingi Wanawake wakimya (introvert) hubadirika pindi tu wanapoingia Kwenye ndoa kwa ajili ya sababu kuu mbili.
  1. Akishaingia ndoani huko naye anakuta mitabia yako ya ajabu ajabu ambayo anaikalia kimya mpaka anashindwa kuvumilia. Anaanza kuongea sasa. Halafu kwanini hua mnaona Wanawake tu ndio wanaweza kuficha tabia zao?? Wakati me pia hua na mitabia yao ya ajabu ambayo huificha ili Mwanamke asichomoe. We're all pretenders when we want something from other.
  2. Hii ndio sababu ya msingi zaidi. Kila Mwanamke introvert akishazaa tu lazima awe muongeaji(Extrovert) maana yeye ndio mwalimu na mlezi mkuu wa watoto lazima aongee nao na wampigishe kelele kwa matukio yao.
So sioni kama ni hoja ya mashiko kwamba kila Mwanamke hua anajifanya mpole na kuficha tabia zake ili apate ndoa. Ni kitu wanaume wamekariri japo yawezakua kweli kwa baadhi yao hufanya hivyo.

Ila kama unauelewa wa masula ya Personalities za watu na Behavioral models zao huwezi kufikia kwenye hitimisho hiyo! Kwamba Wanawake wakimya hujifanyisha ili wapate ndoa ila ukimuoa wanaanza kuongea sana

Nilikua mkimya jamani
Yaani mpaka uniongeleshe ndo nakujibu

Mtoto wa kwanza akaja nikajikuta naanza kuongea mtoto wa pili kufika
Nikawa cherehani automatically

Japokua bado kwa strangers naweza nikakaa kimya na ukahisi ni mkimya

Maisha yanatubadilisha sana sana.
 
Back
Top Bottom