Mazingira ya utawala wa JKN na wengine ni tofauti, huwezi kuwapima kwa kila kitu, labda ungeweka parameters. Wewe umelinganisha nini?Mwinyi 35% ( Alifeli )
Mkapa 75% ( Alifaulu )
Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )
Magufuli 50% ( Alifaulu )
Samia nitampima rasmi ifikapo 2025
ANGALIZO
Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.
Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.
Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.
Nashangaa wakati kila raisi alipitia changamoto zake tafauti na mwenzake.Hakuna haja ya mtu kuvaa viatu vya mwenzake, Kila mtu avae viatu vyake.
Hapo judgement yako imetawaliwa na chuki binafsi. Labda ungetupa criteria zilizokufanya umpe fulani pointi ngapi tungekuelewa.Huwa najiuliza mno huyu Mtu kaifanyia nini Jema Tanzania ndani na nje mpaka Watanzania wanampenda na Kumkubali wakati Kwangu Mimi GENTAMYCINE naona Tanzania tulikuwa na bahati mbaya zaidi Kuongozwa nae na sishangai ndiyo maana Kipindi chake Tanzania ilidharaulika nasi Watanzania tukadharaulika pia.
Ukweli wangu huu ukikuuma na Kuchukia mtafute Mgonjwa wa CORONA ( Covid-19 ) mwambie akuambukize kwa Makusudi Ufe upesi tu.
Swap percent za Magufuli na Mkapa kwa sababu mbili. Nusu ya kwanza ya utawala wa Mkapa bado Nyerere alikuwa hai, na bado alikuwa vocal. Mkapa alitawala kwa miaka 10, kwa hiyo alikuwa na muda mrefu sana wa kutekeleza sera zake.Mwinyi 35% ( Alifeli )
Mkapa 75% ( Alifaulu )
Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )
Magufuli 50% ( Alifaulu )
Samia nitampima rasmi ifikapo 2025
ANGALIZO
Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.
Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.
Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.
Kaweke msalaba kule ikulu basi.Kwa kifupi vibandiko ni failures.
Mbona hiyo no. 3 pamoja na kufeli vibaya lakini ndiyo king maker . Jiulize kwa kwanini katibu mkuu wa chama alifukuzwa ukumbini wakati wa msiba kama kuku !! GENTAMYCINEMwinyi 35% ( Alifeli )
Mkapa 75% ( Alifaulu )
Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )
Magufuli 50% ( Alifaulu )
Samia nitampima rasmi ifikapo 2025
ANGALIZO
Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.
Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.
Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.
Huyu bwana ukiondoa dictatorship, alikuwa na uthubutu.Mkapa 75%? ameuza migodi kwa bei rahisi kwa wazungu huyu. anyway JPM ndio ningempa 75 kwa kuhamisha srikali dom, bwawa la nyrerere na kuwabana wazungu kwenye madini. hizi ni ndoto na maono ya nyrerere
Yule ambaye aliwahi kufanya ubinafsishaji wakati wa utawla wake, hakuwahi kuvvaa viatu vya mwalimu hata kwa asilimia 0%. Yule aliyewahi kuambiwa na Mwalimu kuwa "mtabinafsisha hadi magereza" kwa staili hiyo, alivivaaje sasa viatu vya mwalimu?Mwinyi 35% ( Alifeli )
Mkapa 75% ( Alifaulu )
Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )
Magufuli 50% ( Alifaulu )
Samia nitampima rasmi ifikapo 2025
ANGALIZO
Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.
Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.
Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.
Ukinithibitishia kuwa umepona Utahaira wako nitakujibu.Mkuu unafikiria kwa kutumia kiungo gani Cha mwili wako
Hata Huo mtori haupatikani shauri ya CCM, tumegeuka Yesu , wengine tunafunga siku 40Tuendelee kunywa mtori. Nyama tutazikuta chini
UHARO AT HER BEST!Mwinyi 35% ( Alifeli )
Mkapa 75% ( Alifaulu )
Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )
Magufuli 50% ( Alifaulu )
Samia nitampima rasmi ifikapo 2025
ANGALIZO
Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.
Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.
Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.
KAMA ULIOJAZANA UBONGONI MWAKO.UHARO AT HER BEST!
Dunce.....!!Afadhali umesema Ni maoni yako lakini huyo nyerere unaemtumia Kama kigezo cha kufananishia wengine ndiye was hovyo kuliko wote
Hahahaha nimecheka Sana aisee...Mimi viwango vyangu vingekuwa Kama ifuatavyo: viwango:Mwinyi 35% ( Alifeli )
Mkapa 75% ( Alifaulu )
Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )
Magufuli 50% ( Alifaulu )
Samia nitampima rasmi ifikapo 2025
ANGALIZO
Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.
Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.
Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.