Nikipewa Karatasi ya Kusahihisha Swali la Marais waliovivaa vyema Viatu vya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere haya ndiyo Majibu yangu

Kwa sababu ni wakatoliki.walifaulu wakati wa .utawala wao watanzani walikuwa na hali ngumu sana
 
Kikwete alichomfanya mr slim na ile operation yake kanda ya ziwa nilijua utampa 0%.mkapa 75% na ile mikataba yake ya madini???Magufuli umepatia,asinge binya democrasia na ajira he could have been the best of all.Mwinyi sijui alipataje uraisi
 
Asilimia Ya Mkapa mpe Mwinyi, na ya Magufuli mpe kikwete.
Anzisha Uzi wako uwape Wewe hizo Percentages zako za Kipumbavu sawa? Zangu Mimi GENTAMYCINE ni hizo hamzitaki au zinawachukiza sawa tafuteni Sumu ya Panya Korogeni katika Vikombe mnywe Mfe.
 
Mwinyi 35% ( Alifeli )

Mkapa 75% ( Alifaulu )

Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )

Magufuli 50% ( Alifaulu )

Samia nitampima rasmi ifikapo 2025

ANGALIZO

Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.

Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.

Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.
Dini yako imekuongoza kutoa mtazamo wako. Umeeleweka
 
Mkuu huo mtazamo wako ua makengeza! Kikwete aliendeleza alipoishia Mkapa, Hata katika hotuba aloitoa siku ya mazishi ya Mkapa aliliweka wazi hili wakati akijariu kumsuta Magufuli kwa kudai yeye do kaifikisha Tz uchumi wa kati.
Hata ukienda kwenye graph ya makusanyo ya mapato kutoka serikali ya Mkapa hadi Kikwete utaona graph ilipanda, Hivyo sijaiona failure ya Kikwete hapo!
Kiufupi Mzee wa Musoga alijitaid sana kulingana na mazingira na zama zake ndo maana tunasema kila zama na kitabu chake!
 
Mwinyi 35% ( Alifeli )

Mkapa 75% ( Alifaulu )

Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )

Magufuli 50% ( Alifaulu )

Samia nitampima rasmi ifikapo 2025

ANGALIZO

Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.

Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.

Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.
Magufuli 1%
 
Mwinyi 35% ( Alifeli )

Mkapa 75% ( Alifaulu )

Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )

Magufuli 50% ( Alifaulu )

Samia nitampima rasmi ifikapo 2025

ANGALIZO

Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.

Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.

Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.


"Religious motivated markings"
 
Anzisha Uzi wako uwape Wewe hizo Percentages zako za Kipumbavu sawa? Zangu Mimi GENTAMYCINE ni hizo hamzitaki au zinawachukiza sawa tafuteni Sumu ya Panya Korogeni katika Vikombe mnywe Mfe.
The place where we speak openly,

....... una stress ...... napita hivi
 
Mwinyi 35% ( Alifeli )

Mkapa 75% ( Alifaulu )

Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )

Magufuli 50% ( Alifaulu )

Samia nitampima rasmi ifikapo 2025

ANGALIZO

Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.

Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.

Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.
Wasisahau KUKAUSHA MWILI KAMA WALIVYOKAUSHA MWILI WA NYERERE WAZUNGU
 
Mwinyi 35% ( Alifeli )

Mkapa 75% ( Alifaulu )

Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )

Magufuli 50% ( Alifaulu )

Samia nitampima rasmi ifikapo 2025

ANGALIZO

Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.

Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.

Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.
Mawazo yako yaheshimiwe.

Lakini ukijipa nafasi ya kupitia nyaraka na kumbukumbu mbalimbali. Hujamfahamu Mwalimu Nyerere.

Katika viongozi wote waliomfuatia Mwalimu, hakuna hata mmoja aliyemfikia hata 50% kwenye ujumla wake.

Naweka nukuu ya mwanaJF - Achimwene wa Makete, ili uone kama kuna anayemsogelea hata mmoja:
Mambo usioyajua kuhusu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Sasa wacha nikufahamishe;-

1.Alizaliwa tarehe 13/04/1922 Butiama na kufariki tarehe 14/10/1999 kule London.Ni Raisi wa kwanza Afrika kuachia madaraka kwa hiari yake mwenyewe.

2.Ni Raisi wa kwanza kuhama Ikulu na kwenda kuishi kwenye nyumba aliyoijenga kwa mkopo akiwa bado Raisi.

3.Ni kati ya Raisi aliyekuwa analipwa mshahara mdogo duniani na pengine kati ya raisi aliyewahi kulipwa mshahara mdogo barani Afrika mpaka sasa.

4. Ni Mtanganyika wa kwanza kusoma chuo kikuu nchini Uingereza na Muafrika wa pili kupata Degree nje ya Afrika, akisomea English, Political Economy, Social Anthropology, British History, Economic History, Constitutional Law, and Moral Philosophy.

5. Ni kiongozi aliyeisaidia China kuingia Umoja wa Mataifa na hotuba yake maarufu akisema
kwamba,"Umoja wa Mataifa si serikali ya dunia bali ni sehemu ambayo dunia nzima inakutana,
kwahiyo kumtoa China katika umoja wa mataifa ni kumtoa kuwa sehemu ya dunia".

6. Ndio mwanzilishi wa harakati za kupinga ubaguzi wa rangi Afrika ya Kusini- Anti Apartheid Movement mwaka 1959 pamoja na Trevor Huddleston nchini Uingereza.

7. Ni mmoja kati ya waanzilishi wa Umoja wa Afrika, 1963.

8. Amezisaidia nchi nyingi za Afrika kupata uhuru kuliko mtu mwingine yoyote katika historia ya ukoloni, nchi hizo ni Zambia (1964), Malawi (1964), Botswana (1966), Lesotho (1966), Mauritius (1968), Swaziland (1968) and Seychelles (1976) na baadae 1975 (Mozambique), (Angola), 1980 (Zimbabwe), 1990
(Namibia) na 1994 (South Africa).

9. Mwaka 2009 alitajwa na raisi wa mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa kama "World Hero of Social Justice".

10. Amepokea shahada mbalimbali kutoka, University of Edinburgh (UK), Duquesne University (USA), University of Cairo (Egypt), University of Nigeria (Nigeria), University of Ibadan (Nigeria), University of Liberia (Liberia), University of Toronto (Canada), Howard University (USA), Jawaharlal Nehru University (India), University of Havana (Cuba), National University of Lesotho, University of the Philippines, Fort Hare University (South Africa),Sokoine University of Agriculture (Tanzania), and Lincoln University (PA, USA).

11. Alipokea Tuzo ya Order of José Marti Cuba 1975, Order of the Aztec Eagle (Collar) Mexico 1975, Order of Amílcar Cabral Guinea Bissau 1976, the Nehru Award for International Understanding in 1976, the Third World Prize in 1982, Order of Eduardo Mondlane
Mozambique 1983, the Nansen Medal for outstanding services to Refugees in 1983, Order of Agostinho Neto Angola 1985, Sir Seretse Khama SADC Medal 1986, Joliot-Curie Medal of Peace 1988, the Lenin Peace Prize in 1987, the International Simón Bolívar Prize in
1992, and the Gandhi Peace Prize in 1995, Statesman of the 20th century by the Chama Cha Mapinduzi 2000, Order of the Companions of O. R. Tambo (Gold) South Africa 2004, Royal Order of Munhumutapa Zimbabwe 2005, Most Excellent Order of the Pearl of Africa (Grand Master) Uganda 2005, Order of Katonga Uganda 2005, National Liberation Medal Rwanda 2009, National Liberation Medal Rwanda 2009, Campaign Against Genocide Medal Rwanda 2009, Order of the Most Ancient Welwitschi Mirabilis Namibia 2010, Tanzania Professional Network Award 2011, Order of Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Tanzania 2011, National Order of the Republic (Grand Cordon) Burundi 2012 and Order of Jamaica, Jamaica.

12. Mwaka 2007 Rais Yoweri Museveni wa Uganda alimpa tuzo ya Katongo, Medali ya juu kuliko zote ya Jeshi la Uganda kwa heshima ya upinzani wake dhidi ya ukoloni na serikali ya Idi Amin.

13. Mitaa, barabara, majengo, vituo, shule, vyuo na vitu vilivyopewa jina lake; Daraja la Nyerere Kigamboni,Julius Nyerere University of Kankan, in Kankan, Guinea, Nyerere Drive,Gaborone (1.6 km) in Botswana, Nyerere Avenue, Mombasa (1.5 km)
and Nyerere Road, Kisumu (2 km) in Kenya, Julius Nyerere Street, Windhoek (1.1 km) in Namibia, Julius Nyerere Street, Durban (0.5 km) in South Africa, Nyerere Road, Kitwe (1.4 km) in Zambia, Julius Nyerere Way, Harare (1 km) in Zimbabwe, Julius Nyerere International Airport, Julius Nyerere International Convention Centre, Nyerere Day- Public Holiday 14/10, Nyerere Cup, Nyerere Road, Unguja, Zanzibar (6.5 km), Nyerere Secondary School in Mwanga District and J.K. Nyerere Secondary School in Moshi, Kilimanjaro Region, Mwalimu J. K. Nyerere Secondary School in Mbozi District, Mbeya Region, Nyerere Memorial School in Korogwe, Tanga Region, Nyerere High School Migoli in Iringa Region, Nyerere Secondary School in Unguja, Zanzibar, Mwalimu Nyerere Foundation, Mwalimu Nyerere Museum Centre and Mwalimu Nyerere Memorial Academy- Tanzania.

14. Baadhi ya vitabu alivyoviandika ni, Freedom and Unity (Uhuru na Umoja), Freedom and Socialism (Uhuru na Ujamaa), The Arusha
Declaration, Education for self-reliance, The varied paths to socialism, The purpose is man, Socialism and development, Freedom and Development (Uhuru Na Maendeleo), Ujamaa, Crusade for Liberation, Education for Self-Reliance, na Uongozi na Hatima ya Tanzania.

15. Pamoja na kujulikana kama - Baba wa Taifa la Tanzania, Nchi za Kusini mwa Afrika zinamtambua kama baba wa Ukombozi wa Nchi za Kusini.

16. Pamoja na kujua lugha ya Kiswahili na Kiingereza kwa Ufasaha - pia alikuwa akifahamu lugha ya Kigiriki na Kilatini.

17. Julius Nyerere ameandikwa kwenye kitabu cha Enyclopia kama mtu pekee duniani katika historia ya karne ya 21, aliyeweza kuwafanya watu wa makabila, dini, asili na historia tofauti kujiona kama watu wamoja.
 
SI unit ya Urais ni Katiba na sio viatu vya Baba wa Taifa.

Lakini naheshim mawazo yako the game changer, talented and influencer, wewe umeamua kuwapima kwa kuwalinganisha na alivyoenenda Baba wa Taifa.
 
Mtazamo wako ni finyu. ....ila ngoja tuuheshimu. ....

Kwakuingeza tu nadhani ungempa mwinyi 85% kwasababu zifuatazo

alikua raisi jasiri na mvumilivu kuliko wote. Aliyukanwa (mpaka na nyerere mwenyewe ) ila alikua mvumilivu sana
kuitoa nchi kutoka katika mfumo wa ujamaa kwenda soko huria tena katika kipindi ambacho treasury kulikua kweupe kabisa. Yani jamaa alirithi nchi ikiwa haina hat senti.
kuleta demokrasia ya vyama vingi ambayo mpaka Leo tunajivunia. Ingawa bado haijaiva ila tutafika tu.
kilinda muungano, kwani yeye alijua dhahiri adha za muungano. Hakirupuka kuuvunja ila alijitahidi sana kuutafutia ufumbuzi baada ya kuharibu
kitu muhimu bila kusahau ni kuilinda legacy ya NYERERE. Haliwa na hiyana. Angewaza kufanya kama alivyofanya mwenda zake kuwafanya maraisi waiopita kama si kitu. Ila yeye alikua mstariwa mbele kilinda legacy ya nyerere. Kamaangeua kumchafua nyerere landa Leo hat Nyerere day tusingekuwa nayo.

Hayo ni machache tu. .....

Mara nyingi naona hakina Rais anaonewa na kubwezwa kama mwinyi. Ingawa yeye ndoalikua jembe kweli kweli
 
Mkapa 75%? ameuza migodi kwa bei rahisi kwa wazungu huyu. anyway JPM ndio ningempa 75 kwa kuhamisha srikali dom, bwawa la nyrerere na kuwabana wazungu kwenye madini. hizi ni ndoto na maono ya nyrerere

sure 100%
 
Back
Top Bottom