Nikipewa Karatasi ya Kusahihisha Swali la Marais waliovivaa vyema Viatu vya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere haya ndiyo Majibu yangu

Mwinyi 35% ( Alifeli )

Mkapa 75% ( Alifaulu )

Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )

Magufuli 50% ( Alifaulu )

Samia nitampima rasmi ifikapo 2025

ANGALIZO

Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.

Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.

Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.
Jinuun katika ubora wake
 
Haku
Jibu maswali yangu kwanza halafu na mimi nitakujibu.
Hakuna swali lililoulizwa hapo. Nilichokiona ni uwezo wa kiwango Cha chini kabisa wa kuielewa Tanzania na historia yake na pia historia ya Mwalimu na dunia kwa ujumla...aliyezaliwa miaka ya 2010 na hakupata hata elimu ya msingi ndiyo anaweza kutoa comments Kama hizo...unless niambiwe comments hizo zilikuwa ni mzaha
 
Nyerere ni only 40%
Mwinyi 30%
Mkapa 45%
Kikwete 50%
Magufuli 10%
Samia 60%
Sio kuvaa viatu vya Nyerere ni kusukuma Taifa mbele Kwa utulivu Na furaha.
Nyerere alikua muongo Sana zaidi ya umoja mengine yote alifeli sana.
Magufuli aliua Taifa na utaifa. Adhabu ya Sabaya ni ya Magufuli. Ukitaka kumpiga mzazi Mpigie mtoto.
Ila sababu Genta ni Sukuma gang kaa Na mawazo yako.
ID yako inaeleza Kila kitu
 
Alisogea akiwa kama nani?

(Kigogo anawadanganya sana)


JamiiForums mobile app
Kigogo usimchukie . Wakati wenye mamlaka wakiwadanganya wananchi kiongozi yuko salama ofisini anachapa kazi. Yeye alisimamia ukweli wake . Leo waliokuwa waongo ndiyo hao hao wako high table . Kigogo na ukweli wake anaonekana mdanganyifu.

Only in Tanganyika
 
Haku
Hakuna swali lililoulizwa hapo. Nilichokiona ni uwezo wa kiwango Cha chini kabisa wa kuielewa Tanzania na historia yake na pia historia ya Mwalimu na dunia kwa ujumla...aliyezaliwa miaka ya 2010 na hakupata hata elimu ya msingi ndiyo anaweza kutoa comments Kama hizo...unless niambiwe comments hizo zilikuwa ni mzaha
Maswali yapo na si ya mzaha, ngoja niyarudie tena

Kwa nini Nyerere alivyokuwa madarakani hakuruhusu mfumo wa vyama vingi? Kwa nini hakuruhusu demokrasia? Kwa nini aling'ang'ania sera za ujamaa ulioshindwa kutupunguzia umaskini?
 
Nyerere ni only 40%
Mwinyi 30%
Mkapa 45%
Kikwete 50%
Magufuli 10%
Samia 60%
Sio kuvaa viatu vya Nyerere ni kusukuma Taifa mbele Kwa utulivu Na furaha.
Nyerere alikua muongo Sana zaidi ya umoja mengine yote alifeli sana.
Magufuli aliua Taifa na utaifa. Adhabu ya Sabaya ni ya Magufuli. Ukitaka kumpiga mzazi Mpigie mtoto.
Ila sababu Genta ni Sukuma gang kaa Na mawazo yako.
Daahh hii yako nayo ni mpya.

Nyerere ana mapungufu yake lakini huwezi kumlinganisha na hawa waliomfuatia . Hakuwa mbinafsi kama hawa waliofuatia.
 
Hakuna haja ya mtu kuvaa viatu vya mwenzake, Kila mtu avae viatu vyake.
Mimi nadhani watanzania wengi hawajui umuhimu wa nchi kuwa na dira inayoeleweka. Mwanzihsa thread hapa anajaribu kuelezea marais waliyofuata vizuri dira ya nchi (ambayo kwa maoni yangu, Nyerere alifanya vizuri). Kikwete na Mwinyi wali-deviate kabisa na kuja na dira zao ambazo ziliharibu na kuhujumu maslahi ya nchi yetu. Samia nasikia yeye ndiyo kabisaa haziiviani na Nyerere na ndiyo maana hata Nyerere Day ya jana alifanya vitu tofauti kabisa.
 
Dira ya nchi yetu inayotakiwa kufatwa na kila kiongozi ni ipi? Unaweza kuilezea kifupi?
Mimi nadhani watanzania wengi hawajui umuhimu wa nchi kuwa na dira inayoeleweka. Mwanzihsa thread hapa anajaribu kuelezea marais waliyofuta vizuri dira ya nchi (ambayo kwa maoni yangu, Nyerere alifanya vizuri). Kikwete na Mwinyi wali-deviate kabisa na kuja na dira zao ambazo ziliharibu na kuhujumu maslahi ya nchi yetu. Samia nasikia yeye ndiyo kabisaa haziiiani na Nyerere na ndiyo maana hata Nyerere Day ya jana alifanya vitu tofauti kabisa.
 
Mwinyi 35% ( Alifeli )

Mkapa 75% ( Alifaulu )

Kikwete 5% ( Alifeli vibaya )

Magufuli 50% ( Alifaulu )

Samia nitampima rasmi ifikapo 2025

ANGALIZO

Mtazamo wangu huu Uheshiimiwe na kama kuna unayempenda mno hapo na Amefeli halafu Umechukia tafuta Sumu ya Panya hapo ulipo Korogea Unywe ili upotee mazima.

Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere tunakukumbuka sana Baba ( Babu ) na Watanzania, Waganda, Wanyarwanda, Wasumbiji, Wazimbabwe, Waburundi Wabotswana, Wanamibia, Wakongo ( zamani Zaire ), Wanaijeria, Waghana na JamiiForums Members wenye Akili ( Great Thinkers ) wote kwa pamoja wanakukumbuka ( tunakukumbuka ) sana.

Roho yako izidi Kulala mahala pema Peponi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ila huku nyuma sasa yale uliyoyakemea kama Rushwa, Ukabila, Mmomonyoko wa Maadili, Elimu Duni inayozidi tu Kuzalisha Mipumbavu ( Mipopoma ) mingi sasa ndiyo yameshamiri.
Mtazamo wako haupo sawa

Hi Tanzania unayoiona Leo msingi wake aliujenga Mwinyi

Kutokaka katika SOCIALISM kwenda katika CAPITALISM

kutoka katika DEMOCRACY ya chama kimoja kuenda katika DEMOCRACY ya vyama vingi

Kama utamsifia mkapa kwa kukusanya kodi vizuri basi tambua kuwa hiyo miundombinu iliyomfanya Mkapa akusanye kodi ilijengwa na Mwinyi

Mwinyi hakuweza kukukusanya kodi kwa sababu hivyo vyanzo vya kukusanya kodi havikuwepo

Kulikuwa hakuna viwanda vya uzalishaji

Kulikuwa hakuna makampuni kama voda ,tigo na Airtel

Kulikuwa hakuna wafanya biashara wakubwa kama akina Bakharesa, Mo, na akina Mengi

Mwinyi ndio akawatengeneza hao wote hatimaye kazi ya Mkapa ikawa raisi sana

Mimi Mwinyi nampa 100% ya mafanikio
 
kwasababu alitaka kumchapa PAKA?
Angethubutu aone kama Tanzania nzima isingekuwa Mali ya Rwanda. Mshukuruni sana Hayati Mkapa, Mzee Butiku na akina Profesa Mwandosya pamoja na Rais Museveni kwani Rwanda ilikuwa inaenda Kuifundisha Adabu Tanzania na msingeamini Macho na Masikio yenu.

Rwanda ndiyo Israel ya Bara la Afrika.
 
Back
Top Bottom