Sina kauoga shemeji, kwa sasa kuna dawa anakunywa kidonge kimoja 10,000 ila navichukua sehemu wananiuzia 7000 maana ni daily dozi. Imani yangu ipo kwenye miziz nikipata mtaalamu tu najua atakaa sawa. Kuna babu yangu tulimpeleka hospital wakasema hali yake haitibiki tumlee tu mpaka afe lakini sangoma alicheza nae mpaka sasa yupo poa kiasi lakini sio kama alipokuwa anatumia dawa za hospital alikatisha matumaini. so nina imani hakuna kinachoshindikana. Uzuri alikuwa mkweli hakutaka kunijaza ndio maana nahangaika nae, mabinti wengine angeficha na akawa analalamika kwa nini hashiki mimba kumbe anajua chanzo. Kwa sasa ana 32 yrs and i am not abandoning her no matter what, japo kwa sasa ni kama rafiki ila kwa kuwa maisha hayatabiriki you never know what is in the store for you.