Nikijibiwa hili nahamia Chadema

Nikijibiwa hili nahamia Chadema

T2015CCM

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
7,930
Reaction score
990
Chadema kimehusishwa mara kadhaa katika matukio ya kinyama ya kiuwaji mf kumwagia watu tindikali.kulisha watu sumu na kutishia watu kwa bastola. Kwanini hamtupi watanzaniamajibu ya kutosha?
Mmefanya nn tangu kimeanzishwa zaidi ya maandamano na kuapa kuwa nchi haitatawalika na kuhamasisha vurugu?
 
embu soma kwanza mada yako.haieleweki umeandika nini
au una njaa?
 
Chadema kimehusishwa mara kadhaa katika matukio ya kinyama ya kiuwaji mf kumwagia watu tindikali.kulisha watu sumu na kutishia watu kwa bastola. Kwanini hamtupi watanzaniamajibu ya kutosha?
Mmefanya nn tangu kimeanzishwa zaidi ya maandamano na kuapa kuwa nchi haitatawalika na kuhamasisha vurugu?

Unaiga kijnga sana
 
mkuu ume copy na ku paste sema umeandika kinyume chake..kwi kwi kwi haya bhana naona watu na vyama vyenu ila ww ni fisadi na cdm nao mafisadi wote nyie mnawanyoja watanzania#mama muuza tuongeze kama tulivyo
 
Napenda kuongeza ,

Hili suala la Lema kubaka chizi huku UK mbona hatujasikia TAMKO?

Wakinijibu haya mimi nitakuwa wa kwanza kurudi KADIMA

Mbona wewe ulibakwa hujasema ? Mbona umeiba mchango wa marehemu husemwi ?
 
CCM imeongoza nchi hii
kwa zaidi ya miaka
hamsini sasa, swalilangu
ni hili,
Ni huduma gani yoyote ya
kijamii inayopatikana hapa
nchini kwa uhakika tangu
mshike madaraka?.
hilo ndio swali la misingi jibu kwanza
 
mpaka udese " utumie MIG" ndo upate kuuliza.
kweli ninyi ni majanga!!

outdated !! try another day round.
 
Chadema kimehusishwa mara kadhaa katika matukio ya kinyama ya kiuwaji mf kumwagia watu tindikali.kulisha watu sumu na kutishia watu kwa bastola. Kwanini hamtupi watanzaniamajibu ya kutosha?
Mmefanya nn tangu kimeanzishwa zaidi ya maandamano na kuapa kuwa nchi haitatawalika na kuhamasisha vurugu?

mkuu umesahau na kung'oa kucha za dr ulimboka,na kung'oa jicho la kibanda,watuambie haya yote
 
mpaka udese " utumie MIG" ndo upate kuuliza.
kweli ninyi ni majanga!!

outdated !! try another day round.
 
Chadema kimehusishwa mara kadhaa katika matukio ya kinyama ya kiuwaji mf kumwagia watu tindikali.kulisha watu sumu na kutishia watu kwa bastola. Kwanini hamtupi watanzaniamajibu ya kutosha?
Mmefanya nn tangu kimeanzishwa zaidi ya maandamano na kuapa kuwa nchi haitatawalika na kuhamasisha vurugu?

Ha ha ha ha ....MaCCM mnakazi ya kufanya...Naona Nappe amewakurupua hapo Lumumba baada ya kukosa majibu ya thread PISTO.......Ile thread tumeshawaomba mods waiweke STICKY mpaka majibu yapatikane...
 
Hili jukwaa tungekuwa tunajadili masuala ambayo ni logic tungeweka mchango mkubwa zaidi kwa maendeleo ya nchi yetu, ccm mnaboa..na mnavijitopic vya kifala sana, your senses defeat you unreasonably
 
Unaiga kijnga sana

Mkuu siyo swala la kuiga...Ni kwamba Nappe amewakurupua Lumumba team na kuwaambia kesho hakutakuwapo na mgao wa buku saba....Ile thread ya PISTO wamekosa majibu na Lumumba wote walikuwa wamejificha..
 
Ha ha ha ha ....MaCCM mnakazi ya kufanya...Naona Nappe amewakurupua hapo Lumumba baada ya kukosa majibu ya thread PISTO.......Ile thread tumeshawaomba mods waiweke STICKY mpaka majibu yapatikane...
Ww huna jipya kalale!
 
Chadema kimehusishwa mara kadhaa katika matukio ya kinyama ya kiuwaji mf kumwagia watu tindikali.kulisha watu sumu na kutishia watu kwa bastola. Kwanini hamtupi watanzaniamajibu ya kutosha?
Mmefanya nn tangu kimeanzishwa zaidi ya maandamano na kuapa kuwa nchi haitatawalika na kuhamasisha vurugu?

Kwa jinsi ulivyokopi na uandishi wako ulivyo, unadhihirisha kabisa jinsi ulivyo mweupe kichwani!
 
Back
Top Bottom