johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,956
- 141,942
Natafakari tu.
Iwapo makao makuu ya CHADEMA bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.
Je, unadhani ni nini Tundu Lissu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?
Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.
Maendeleo hayana vyama!
Iwapo makao makuu ya CHADEMA bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.
Je, unadhani ni nini Tundu Lissu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?
Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.
Maendeleo hayana vyama!