Nikiangalia Rais Biden anavyofuta sera za mtangulizi wake ni wazi Tundu Lissu angeshinda angeirudisha Serikali yote Dsm!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,750
139,549
Natafakari tu.

Iwapo makao makuu ya CHADEMA bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.

Je, unadhani ni nini Tundu Lissu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?

Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Natafakari tu.

Iwapo makao makuu ya Chadema bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.

Je, unadhani ni nini Tundu Lisu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?

Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.

Maendeleo hayana vyama!
Umeishiwa ya kuandika?
 
Kwa vile kamuamin shoga kwenye serikali yake?
No offence. Kwetu sisi ushoga ni haramu.
Ila kwao hawana shida nalo.

Halijawaharibia uchumi.. halijawashusha kimataifa.. halijawafilisi..
Maendeleo bado yako pale pale.. uchumi bado uko juu..

America wana view tofauti na sisi.. kwao wao hawajali kama mtu ni shoga.. ni single maza.. ni mdudu gani.. hawataki kujua..
Kama huyo mru ni potential candidate na ana qualifications.. wanampa hiyo nafasi.
.
Sisemi tuwaige.. tubaki na tamaduni zetu. Wao wabaki na zao.
 
Chato inherudishiwa hadhi ya wilaya toka hadhi ya Jiji iliyopewa bila kufuata utaratibu.
 
Natafakari tu.

Iwapo makao makuu ya Chadema bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.

Je, unadhani ni nini Tundu Lisu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?

Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.

Maendeleo hayana vyama!
Biden na tundulisu ni watu wasiokaa chungu kimoja. Halaf usimfananishe biden na watu wa ajab ajab
Team Lumumba. Mlisema wapinzani wanawa chelewesha . Mmewatoa lakini bado safari haifanyiki mnaishia kuwalaumu wapinzani !!!

America na Tanganyika wapi na wapi !!

Odhis *
 
Jua kwanza kilichowakimbiza watu dar,dar hakukaliki lkn mizimu haikimbiwi Kama ni muhusika itakufuata hata Ulaya
 
Natafakari tu.

Iwapo makao makuu ya Chadema bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.

Je, unadhani ni nini Tundu Lisu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?

Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.

Maendeleo hayana vyama!
Naona mmeweka CD zote,hadi zimeisha sasa.
Upinzani ni muhimu kwa soko
la ajira hapo Lumumba.
Anyway nimechagua maendeleo.
Sina chama mie.
 
Tundu huyu ni kibaraka
Natafakari tu.

Iwapo makao makuu ya Chadema bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.

Je, unadhani ni nini Tundu Lisu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?

Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Natafakari tu.

Iwapo makao makuu ya Chadema bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.

Je, unadhani ni nini Tundu Lisu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?

Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.

Maendeleo hayana vyama!
Amefuta sera gani? Muachage ujinga! Hujui hata tofauti ya executive orders na policies na policy making! Yaani viazi kama viazi. Kuna vitu wanafundishaga second year varsity! Hata shule hamkwenda?
 
Natafakari tu.

Iwapo makao makuu ya Chadema bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.

Je, unadhani ni nini Tundu Lisu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?

Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.

Maendeleo hayana vyama!


Kutoka chato to Dar?
Not bad idea i say.
 
Natafakari tu.

Iwapo makao makuu ya Chadema bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.

Je, unadhani ni nini Tundu Lisu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?

Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.

Maendeleo hayana vyama!
unawaza watu ambao hawawezi hata kushika ukuu wa mkoa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom