Nikama baada ya kudakwa kule Kenya watekaji wamekula pozi kidogo

Nikama baada ya kudakwa kule Kenya watekaji wamekula pozi kidogo

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
3,333
Reaction score
6,454
-Aonaye haambiwi tazama. Baada ya wenzao kudakwa Kenya nikama kikosi cha watekaji na wauwaji wa watanganyika kipo likizo kidogo.

Je hii inaashiria nini?

Je nikwamba wamegundua project imeanza ku backfire?

-Je malipo hamna?
-Project imeisha?
 
-Aonaye haambiwi tazama. Baada ya wenzao kudakwa Kenya nikama kikosi cha watekaji na wauwaji wa watanganyika kipo likizo kidogo.

Je hii inaashiria nini?

Je nikwamba wamegundua project imeanza ku backfire?

-Je malipo hamna?
-Project imeisha?
Wanajua wenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom