Dangotte Junior
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,949
- 8,509
Awamu ya Magufuli, hamna Cha FREEMASON Wala katekista.Magazeti ya nyumbni yametudanganya sijui nani freemason kumbe walikuwa wanaficha uchafu wao wa unga nyuma ya pazia ,magazeti ya udaku sasa hvi kimya hakuna freemason wala mamaye freemason.
Jamaa walimpiga na wale jaamaa Wa piga Namba hii uunhanishwe na Freemason huyu maana Freemason hawana longolongo wako very serious na kile wanafanyaTofautisha matapeli wanaojiita FREEMASON na REAL FREEMASON
mtu mwenye uwezo wa kukufanyia mabaya huwa hana maneno ya vitisho yan utakuta tu yashakukuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Azarel, Hueleweki kabisa.
Wewe unasema nini.
1. Kwamba Freemason hawapo.
Au
2. Hakuna Secret Society.
Hebu weka wazi nini hasa unazungumzia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaongezea machache
Kwanini wakajiita freemason ? Ni kwasabu wajenzi wote yasemekana walilaaniwa na Bwans Yesu hivyo wakawa ni watu wenye nuksi na mikosi na maskini
Kwahiyo wakawa wanafanya matambiko kabla ya kuanza ujenzi wowote ule ,matambiko haya ndio yalikuja kukua na kugeuka kama dini..wanajiita wajenzi huru yaani uhuru kutoka katika laana ya Kristo Yesu
Kwanini wanahusishwa na shetani ?matambiko yaoya kutaka kujinasua na laana ya wajenzi ndio ilisababisha wahusishwe na ibada za giza
Lakini ili wajitofautishe na wajenzi wengine (masons) walinia kujiwekea viwango vya juu mno vya ubora kwa kila kazi walizofanya .hii ilisababisha wapate tenda nyingi za ujenzi wa majumba ya matajiri
Mtoa mada umesema sio dini, je mtu anaweza kuwa freemason wakati anaendelea kuabudu katika dini yake ya kawaida?
Sijui unaetetea masonic nawe ni mmoja wao au??!!
Kwa inavyoelekea na wewe ni mfuasi wa free mason kwa unavyojieleza sina shaka na hilo. kama hawana lengo baya hofu kwa ss inakujaje?
Kwa lugha nyepesi na fupi nitakueleza tu kuwa pamoja na kuandika maelezo yote hayo hakuna unalolijua...
Wewe pia ni mmoja wao na unachokifanya hapa ni kueneza imani yenu kwa mgongo wa kujifanya mawazo yote umeyatoa kichwani mwako...
Dunia au ulimwengu una falme kuu mbili nazo ni Ufalme wa Nuru ulio chini ya Mungu Muumba vyote na Ufalme wa Giza ulio chini ya Ibilisi baba wa uovu.
Ndani ya falme hizi kuna tawala mbalimbali na huu utawala wa freemason unaangukia kwenye Ufalme wa Ibilisi.
Kitabu cha Amri za Mungu kwa wanadamu katika torati ya Nabii Musa iliweka bayana kwa wanadamu kuwa, "Usiwe na miungu mingine isipokuwa MIMI (Mungu Muumba)".
Taratibu za ibada za freemasonry zinakinzana na amri hiyo kwa asilimia zote 100.
Aisee hawa watu ni hatari sana. Walimrubuni binti yangu anasoma udsm. Wakampeleka kwenye sinagogi la shetani na kumwapisha kwa jina la mpinga kristo 666, wakachukua alama za vidole, wakamshurutisha kukamilisha code 666 kwa fedha 666,000 ndani ya muda waliompa.
Bint akataka kujitoa wakaanza kumpigia simu na kumtumia ujumbe wa vitisho. Mara kadhaa alipigiwa simu kutoka namba 666, alipopokea mpigaji alisikika kama upepo mkali au mawimbi, alipokata mpigaji alituma meseji yenye lugha isiyoeleweka.
Baadae walimtuma mjumbe wao kumweleza ukiacha imani hii itakughalimu maisha yake au ndugu zake. Kuna mambo mengi mabaya ya FM ambayo nikiyaandika hapa nahitaji masaa 4 ....
Na pia ni mashoga wakubwa na wenye kuoa au kuolewa na wanyama pamoja na ndoa za jinsia moja.
So many contradictions.Wanasema hawana dini lakini wanatoa makafara, wanataka kuitawala Dunia na ku initiate watu wengi lakini wana operate kisiri. Mambo mengi yamejificha kwa hii Organization.Msidanganye watu hasa walioko kwenye fani ya ujenzi
Che mittoga, Ndio nakuambia hivii, hakuna cha secret society na wala hawafanyi hayo yanayosemwa huku.
Nimeshaenda mpaka kwenye eneo lao wanalosema ni la Ibada karibu na entrance gate ya YMCA hakuna kitu.
Nimewaambia Waniunge hata hapa nawaambia tena, hakuna watakachofanya zaidi ya mizunguko na usanii usio na maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashaxizo,
Wanatoa kafara za binadamu, sana sana za watoto, tena kafara za kikatili na kutisha pia hutoa viungo flan kwenye ubongo ambavyo vinawasaidia kwenye mambo yao ya kishetani, Kwan inasemekan ndan ya hvyo viungo hutumia kwa ajili ya kuwapa nguvu za kiroho
Sent from my iPhone using JamiiForums