Niijuavyo Freemasonry

Niijuavyo Freemasonry

unapozungumzia ujenzi wa dini, kuna msingi na nguzo, kwa hiyo na mwashi awepo, uanzishwa wa dini ambao hautazingatia misingi na nguzo ilipendekezwa, kukubalika na wengi na ya kale atakuwa huru, andiko la biblia lasema (jiwe waliloliacha waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni) so freemasons are biulders who refused the heard conner stone.
 
Upo sahihi sana mkuu ingawa hapo kwa RED kwa wakristo wa sasa wakikusoma wanaweza kuendelea na conclusion ile ile wanayoimbiwa kila siku ya Wakatoliki kumuabudu Mariamu........

Lakini pia soma hii kitu uone pia ili uone pia wakati gani Kanisa lilipomtambulisha kama Malkia wa Mbingu in relation to Babiloni concept...............

The beginning of the concept that Mary is a Queen is found in the annunciation narrative. For the angel tells her that her Son will be King over the house of Jacob forever. So she, His Mother, would be a Queen.

The Fathers of the Church soon picked up these implications. A text probably coming from Origen (died c. 254: cf. Marian Studies 4, 1953, 87) gives her the title domina, the feminine form of Latin dominus, Lord. That same title also appears in many other early writers, e.g. , St. Ephrem, St. Jerome, St. Peter Chrysologus (cf. Marian Studies 4. 87-91). The word "Queen" appears abut the sixth century, and is common thereafter (Marian Studies, 4, 91-94).

The titles "king" and "queen" are often used loosely, for those beings that excel in some way. Thus we call the lion the king of beasts, the rose the queen of flowers. Surely Our Lady deserves the title richly for such reasons. But there is much more.

Some inadequate reasons have been suggested: She is the daughter of David. But not every child of a king becomes a king or queen. Others have pointed out that she was free from original sin. Then, since Adam and Eve had a dominion over all things (Genesis 1. 26) she should have similar dominion. But the problem is that the royalty of Adam and Eve was largely metaphorical.

The solidly theological reasons for her title of Queen are expressed splendidly by Pius XII, in his Radiomessage to Fatima, Bendito seja (AAS 38. 266): "He, the Son of God, reflects on His heavenly Mother the glory, the majesty and the dominion of His kingship, for, having been associated to the King of Martyrs in the unspeakable work of human Redemption as Mother and cooperator, she remains forever associated to Him, with a practically unlimited power, in the distribution of the graces which flow from the Redemption.

Jesus is King throughout all eternity by nature and by right of conquest: through Him, with Him, and subordinate to Him, Mary is Queen by grace, by divine relationship, by right of conquest, and by singular choice [of the Father]. And her kingdom is as vast as that of her Son and God, since nothing is excluded from her dominion."

We notice that there are two titles for the kingship of Christ: divine nature, and "right of conquest", i.e., the Redemption. She is Queen "through Him, with Him, and subordinate to Him." The qualifications are obvious, and need no explanation. Her Queenship is basically a sharing in the royalty of her Son. We do not think of two powers, one infinite, the other finite. No, she and her Son are inseparable, and operate as a unit.

Of the four titles Pius XII gave for her Queenship, we notice that two are closely parallel to those of Jesus:
(1) He is king by nature, as God; she is Queen by "divine relationship" that is, by being the Mother of God. In fact her relation to her Son is greater than that of ordinary Mothers of Kings. For she is the Mother of Him who is King by very nature, from all eternity, and the relationship is exclusive, for He had no human father. Still further, the ordinary queen-mother gives birth to a child who later will become king. The son of Mary is, as we said, eternally king, by His very nature.

(2) He is king by right of conquest. She too is Queen by right of conquest. We already saw that this title for Him means that He redeemed us from the captivity of satan. She shared in the struggle and victory. Since the Pope expressed her dependence on Him in a threefold way--something we would have known anyway--then it is clear that he did not have in mind any other restriction which he did not express. So, maintaining this subordination, "by right of conquest" means the same for her as it does for Him.

The other two titles

(3) She is Queen by grace. She is full of grace, the highest in the category of grace besides her Son.

(4) She is Queen by singular choice of the Father. A mere human can become King or Queen by choice of the people. How much greater a title is the choice of the Father Himself!

Pius XII added that "nothing is excluded from her dominion." As Mediatrix of all graces, who shared in earning all graces, she is, as Benedict XV said, "Suppliant omnipotence": she, united with her Son, can obtain by her intercession anything that the all-powerful God can do by His own inherent power.
In the Old Testament, under some Davidic kings, the gebirah, the "Great Lady", usually the Mother of the King, held great power as advocate with the king. Cf. 1 Kings 2:20, where Solomon said to his Mother Bathsheba, seated on a throne at his right: "Make your request, Mother, for I will not refuse you." Here is a sort of type of Our Lady.

Nimekusoma kwa jicho la 3D

Ahsanta
 
Free ideas hebu angalia kwanza haya maandishi yako
Nimekuwa nikijaribu kila wakati kufikiri na kufanya tafiti kwa kutumia akili binafsi bila machapisho wala vitabu rejeaa ma msaada hadithi za kusimuliwa,.moja ya mambo ambayo huwa nafikiria ni kuhusu jamii inayosemekana ni jamii ya siri(Free mason) kama wengi wanavoiita.,,

Yafuatayo ni baadhi ya mambo ambayo nimegundua ambayo pia yaweza kuwa tofauti na wengi wanavofikiri.


Nitaaanza kwanza kwa kuifafanua maana ya Free mason na misingi yake,(narudia tena please hii ni kwa mujibu wangu na nnaandika kutoka kichwan sio machapisho yoyote).
Sasa kutokana na hayo maandishi yako hapo juu, unasema hayo umeyajua kwa akili yako na kutoa kichwani kwako halafu na baadae ukaweka na hitimisho, sasa hapa chini mdau anauliza, umeyajuaje hayo wakati umetumia akili yako, hebu muangalie hapa chini
Umeyajuaje yote hayo na wakati umesema wanafanya shughuli zao kwa siri sana, na most of their members ni watu matajiri na watu maarufu, so na wewe ni tajiri au maarufu?? maana tajiri hawezi kuwa na rafiki maskini.
by the way you have prove your poor thinking capacity by saying issues that u dont know.
hujaongelea kwa habari ya viapo wanavyoapishana huko au hilo haulijui tukufungue akili wewe pooir mind.

Sijaona ukijibu hayo maswali ya mdau hapo juu, naomba majibu yake tafadhali...
 
Last edited by a moderator:
Free ideas hebu angalia kwanza haya maandishi yako

Sasa kutokana na hayo maandishi yako hapo juu, unasema hayo umeyajua kwa akili yako na kutoa kichwani kwako halafu na baadae ukaweka na hitimisho, sasa hapa chini mdau anauliza, umeyajuaje hayo wakati umetumia akili yako, hebu muangalie hapa chini


Sijaona ukijibu hayo maswali ya mdau hapo juu, naomba majibu yake tafadhali...

Sikumjibu kwa sababu ya matusi na kejer katik maswal yake.Huwa sijibu maswali yaliyo na matusi na kejer ndan yake.

Kuhusu kuyajuaje hayo nadhani nimeshaeleza huko juu zaidi ya mara tano.Lakini ntakujibu kwa mfano huu

Nikikwambia sasa hivi unaandikie unachojua kuhusu Mwalimu Nyerere bila kutumia rejea ama kopy na paste,kile utakachkandika papo kwa hapo ndo nilichofany.Nadhan ummelewa.
 
Last edited by a moderator:
Sikumjibu kwa sababu ya matusi na kejer katik maswal yake.Huwa sijibu maswali yaliyo na matusi na kejer ndan yake.

Kuhusu kuyajuaje hayo nadhani nimeshaeleza huko juu zaidi ya mara tano.Lakini ntakujibu kwa mfano huu

Nikikwambia sasa hivi unaandikie unachojua kuhusu Mwalimu Nyerere bila kutumia rejea ama kopy na paste,kile utakachkandika papo kwa hapo ndo nilichofany.Nadhan ummelewa.
Lakini kwa maana nyingine siwezi kumjua Nyerere kwa kutokea kichwani kwangu, inamaana either kuna habari zake nimezisikia toka sehemu au nilifanya nae kazi kwa ukaribu zaidi...

kwa hiyo na wewe inabidi ueleze umeyajuaje hayo?
 
Ukweli ni kwamba freemason in tawi dogo la mti mkubwa zaidi unaotaka kutawala dunia kwa mbinu za kijanja saana. Vikundi dada vya free masoni vipo vingi sana kwa maelfu. Lengo kuu ni MBAYA MNO!!! Watanzani wengi kwa bahati mbaya hawatambui mambo haya ila kwa kifupi hata wengi wa wanachama wa freemasonry hawajui lolote!!!
 
hao pengine sio FM bali ni satanists. ni moja ya mitandao mikubwa ya kishetani iliyopo duniani. Binti yako alikutana na satanist ambao wanaingia kwa wingi kutoka nchi jirani hasa kenya. lakini kimsingi satanists wapo na wemekuwapo nchini tangu enzi na enzi ila katika mtindo mwingine. Dawa yao: YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI!!!
 
FREEideas Ninavyoelewa hapa no kuw umesoma kuhusu masonic kupitia sources mbalimbali kisha ukajumuisha like ulichoelewa na kukiandika hapa.
 
Last edited by a moderator:
FREEideas Ninavyoelewa hapa no kuw umesoma kuhusu masonic kupitia sources mbalimbali kisha ukajumuisha like ulichoelewa na kukiandika hapa.
Nikikwambia sasa hivi unaandikie unachojua kuhusu Mwalimu Nyerere bila kutumia rejea ama kopy na paste,kile utakachkandika papo kwa hapo ndo nilichofany.Nadhan ummelewa.
 
Last edited by a moderator:
FREEideas Ninavyoelewa hapa no kuw umesoma kuhusu masonic kupitia sources mbalimbali kisha ukajumuisha like ulichoelewa na kukiandika hapa.

Nikikwambia sasa hivi unaandikie unachojua kuhusu Mwalimu Nyerere bila kutumia rejea ama kopy na paste,kile utakachkandika papo kwa hapo ndo nilichofany.Nadhan ummelewa.
 
Last edited by a moderator:
Nikikwambia sasa hivi unaandikie unachojua kuhusu Mwalimu Nyerere bila kutumia rejea ama kopy na paste,kile utakachkandika papo kwa hapo ndo nilichofany.Nadhan ummelewa.

Still you've been too biased by concentrating on the positive side of Freemasonry and neglect the dark side of it. The dark side involves secrets and all the mysterious about the fraternity. Mind that, non-members can't access the information unless for quieter, and your are not the one. Your fooled by your own pedantic understanding. You don't know freemasonry.
 
Mkuu Eiyer kuna mahali umeeleza kwamba Semiramis kwenye biblia anajulikana kama Diana. Naomba huo mstari tafadhali . Au ndio yule Dada yao kina Simeon, Reuben na yusufu na Banyamini?
 
acknoledgement in jambo la msingi katika maisha ya wasomi hakuna kitu kama pure self knowledge of somebody to something.....loading samahani napita tu.
 
Nimekuwa nikijaribu kila wakati kufikiri na kufanya tafiti kwa kutumia akili binafsi bila machapisho wala vitabu rejeaa ma msaada hadithi za kusimuliwa,.moja ya mambo ambayo huwa nafikiria ni kuhusu jamii inayosemekana ni jamii ya siri(Free mason) kama wengi wanavoiita.,,

Yafuatayo ni baadhi ya mambo ambayo nimegundua ambayo pia yaweza kuwa tofauti na wengi wanavofikiri.


Nitaaanza kwanza kwa kuifafanua maana ya Free mason na misingi yake,(narudia tena please hii ni kwa mujibu wangu na nnaandika kutoka kichwan sio machapisho yoyote).

Free Mason ama wajenzi huru,ni jamiii ama kikundi ambacho kina misingi toka zaman sana enzi za mfalme solomon.kwa jinsi nnavojua mimi kilianzaa kama umoja wa wajenzi waliokuwa maarufu sana wakati ule hasa katika mambo.ya ramani na usanifu majengo,kikundi hiki kilikuwa namisingi yake mashariki yakati.wakati kinaanza hawakuwa na nia yoyote mbaya kama inavyosemekana sasa.


Walianza kama umoja wa wajenzi na baadae kutanuaka hadi ulaya,asia,america kusini na kaskazin na pia africa kaskazin na ethiopia.malengo yao makubwa yalikuwa kusaidia nak udumisha umoja wao na kuendeleza chama chao.

UHUSIANO WAO NA UTAJIRI
Baada ya kupata wafuasi(wajenzi),kikundi hiki kilitanuka na kushawishi watu waliokuwa nau wezo wa kifedha kuwekeza na kujiunga nao ili kuweza kuendelza imoja wao.matajiri mbali mbali kutoka mabara hasa ya ulaya na asia pia marekani waliwasapoti na kuinua mfuko wao wa umoja wa wajenzi.

Walikuwa wakichukua tenda za ujenzi katika sehem mbalimbali duniani na hivo kuanzisha kampuni nyingi karibu kila bara na kanda kadhaa. Na kwa sababu hiyo walijitengenezea jina na heshima na kwa kuwa walikuwa wengi matajir waliweza kushawishi mambo mengi katika siasa,sayansi,na dini.waliweza kufanya mageuzi katika serikal nyingi na kuweka watu waliowataka wao.waliweza pia kufadhili tafiti mbalimbali za lisayansi na kuwasapoti watu maarufu na kuwaaminisha watu kuwa wao(watu),kuwa ni bora na wanauwezo mkubwa kuliko........


KUHUSISHWA KWAO NA SHETANI

Baada ya jamii hii kukua na kuota mizizi ikiwa kama jamii wa wasomi,wataalam,wabunifu na watu maarufu,ilianza kujipanua na kujiingiza katika serikal kubwa duniani.na kushawishi mambo ambayo yalikuwa na manufaaa kwao na hasa katika kuendeleza umoja na mfuko ama ustawi wao.,
Kutokana na kukua kwake wajenzi hawa,wakafikia hatua ya kuanzisha imani yao binafsi,ambapo moja ya misingi yao ni kuamini katika nafsi(sisi),(we the people),rejea hotuba za rais obama za kuapishwa.kwah iyo wakaanzisha utaratibu wao wa kuabudu ambapo wamekuwa wakitoa kafara na sadaka mbali mbali kutokana na imani yao.wamekuwa na ishara zao z kutambuana n.k

Kutokana na wao kuamini katika uwezo wao,wamekuwa wakihisiwa kuwa wanapinga uwepo wa anayeitwa mungu badala yake kwamba wanamuunga shetani mkono.madai haya binafsi nayapinga kwa sababu kuu zifuatazo.

1.aina ya kuabudu wanayotumia Free masoni ni ile iliyotumiwa na mnaowaita mababa wa imani,ibrahim(Abraham ),mussa na akina solomon na wengine wengi.ref.pia kabla ya kuja wakoloni africa tulikuwa tunatoa kafara hadi ya binadam kwa mizim(was that masonic worship??)

2.hakuna kitabu cha masonic rules kinachoeleza wazi kwamba hakuna mungu,ila rules zoa zinaonesha misimamo na personal charachters za mwanadam ambazo hazina uhusiano na kisichoonekana.

3.masoni hawatoi kafara ya kuua wanadam bali ni mbuz,kondoo ama wanyama ambao ni adim kuwaona.

4.chuki,uoga na udhaifu wa dini ndo chanzo cha kusingizia yote.

WANAFANYAJE KAZI
Msonic hufanya shughuli zao kwa umakini na kanuni zao ni za siri pia.wanavitabu na mafunzo ya misingi imara katika dini yao.ili kuhakikisha wanajieneza kwa kiasi kikubwa ,wao hudeal na watu maarufu ama utafiki ama bidhaa pendwa ambapo husapoti na kuendesha shughuli mbalimbali kwa ufanisi mkubwa.

NINI LENGO LAO??
1. Free masonic,hawana lengo baya kama ambavo tumekuwa tukisimuliwa kila siku katika media.,lengo lao ni kutaka kujitawanya karibu kila pembe ya dunia na hivo kupata wafuasi ama waimini wa kutosha.,

2.pia kuitawala dunia(huu ni mpango endelevu ),na kwa imani na plan zao utatimia kabla ya mwaka 2040,lengo lao ni kuona watu wote wanakuwa kitu kimoja na kuunda umoja mahal pote katika uso wa dunia.

3.kutaka kumtoa mwanadam hofu ya misemo kama,SIKU YA HUKUMU,LIFE AFTER DEATH,KIAMA,HEAVEN,HELL n.k,vitu ambavyo kwa iman yao havipo na ni vya kufikirika.

FREE MASON NI DINI??

Kwa mtazamo wangu mimi masonic sio dini kam wengi wasemavyo,..,najua hujanielewa lakini em tufafanue nn maana ya dini,kwa nijuavyo mimi Dini ni aina ya maisha(/shughuli za kimaisha) ambayo mwanadam anaishi/anafanya kila siku.shughulizi hizo ni kama kuzalisha,kutambika,na tamaduni zote.kwa hiyo nikisema dini ni utamaduni nadhn bado ntakuwa sawa.

Lakini masonic sio dini,kwa hiyo pia sio utamaduni bali masonik ni IDEA,kijerumani wanaita IDEE,masonic ni idea tu ya kufanya jambo kwa misingi na utaratibu,na hata wanapokutana pamoja na karafa zao wanazoa ripoti za utendaji kaz na kupeana mikakati ya baaadae,( kwa hiyo sio dini bali ni idea tu.),


NB,niaminivyo mimi masonic ni kama Idea zingine ama theory tu.sifa nyingine tunazitoa sisi ambazo hata wao hawana wala hawajafikiria.,samahan kwa wale nilio wakwaza kwa uzi huu,ni mawazo yangu binafsi yaweza kuwa niko wrong pia.


,kwa maelezo zaidi,tafuta kitabi changa kinaitwa Free Ideas, cha 2013 july.

haya wewe ni mawazo yako sio lazma tukuamini na wewe kama unawaamini wafuate,swalaa imani is still a personal issue, so walk on your way and leave others on their ways:Kwanza inaonekana kijana unakipigia debe kitabu chako tu na kwa mawazo machache tu ulioandika hapo OBVIOUS hicho kitabu hakitavutia hata kidogo
 
haya wewe ni mawazo yako sio lazma tukuamini na wewe kama unawaamini wafuate,swalaa imani is still a personal issue, so walk on your way and leave others on their ways:Kwanza inaonekana kijana unakipigia debe kitabu chako tu na kwa mawazo machache tu ulioandika hapo OBVIOUS hicho kitabu hakitavutia hata kidogo

Haya bana ninekuelewa?
 
Naona wewe ni mfanyabiashara tu, na si ajabu ni member wa FM unajaribu kuwaoshea jina!
 
Back
Top Bottom