ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,729
- 34,830
Nyie ndio watu ambao hata buku hamna mifukoni!!....it is so funnyMimi pekee natoa Shilingi milioni 50 cash
Nyie ndio watu ambao hata buku hamna mifukoni!!....it is so funnyMimi pekee natoa Shilingi milioni 50 cash
Mimi sio tapeli jamani ila kila mtu ana maoni yake na ninayaheshimu hii story ni ndefu sijui nianzie wapi na niishie wapi hiyo milioni 25 haikuingizwa yote iliingizwa 12m na mimi nilikua na deni na hiyo bank so wamepiga mahesabu natakiwa kurudisha 25m mimi naipata wapi mwenzenu sina hata pa kuanzia jamani sina mali zozote zaidi ya fridge na godoro langu uwiii mimi
Mimi sio tapeli jamani ila kila mtu ana maoni yake na ninayaheshimu hii story ni ndefu sijui nianzie wapi na niishie wapi hiyo milioni 25 haikuingizwa yote iliingizwa 12m na mimi nilikua na deni na hiyo bank so wamepiga mahesabu natakiwa kurudisha 25m mimi naipata wapi mwenzenu sina hata pa kuanzia jamani sina mali zozote zaidi ya fridge na godoro langu uwiii mimi
Wewe Kamanda ushauri mzuri sana.kuliko pesaMimi hata nidaiwe kichwa sijiui, acha ubwege wewe kuwa jasiri deni aliui bora ufungwe kuliko kujiua kesi ya kudaiwa sisawa na kesi ya kuua au kubaka kusema utaozea jela.
Ukiweza kupita mtihani huu hakika utakuwa imara sana na tegemea mafanikio mbeleni.
Halafu kwa dunia ya sasa iliyojaa utapeli,ubinafsi na ugumi wa maisha ukipata mtu wa kukulipia ilo deni mshukuru Mungu sana.
Hahaa, naweza kuwa ghostwriter wa msanii maarufu hivi hivi, kesho nasikia bars zangu redioni, hahaaa.Mzee uko vizuri nilikuwa najaribu kuchana kupitia hizi bars zako daah fresh sana
big up Mkuu Kiranga
Papuchi hiyo ina worth 5M??Afu wewe Dada acha mambo zako hizi sio enzi za jk, ungetoa papuchi kwa watu hata 5 tatizo lingeisha.
Kabla sijakupa pole uliwaza mini kuandika hii kitu? Mjini shule ila sio lazima uje na madaftari na kalamu, mjini ni smartphone na bando.
Wakati ule, mababazi wa mujini wangetoa.Papuchi hiyo ina worth 5M??
Aisee..5M inabidi kipochi kiwe na standard ya juu kabisa..Wakati ule, mababazi wa mujini wangetoa.
Watu wote jf unawajua hadi kina nape wapo humu,kuna watu watatu nawafahamu humu wana pesa kuzidi hiyo milion 30 ni zaidii,usiongelee watuAfu kwa uhakika kabisa humu Jf hakuna MTU anaemiriki A/c yenye hata mil 30 hayupo narudia tena hayupooooooooooooooooo
Ushauri, hizo 6500 cheza buku, utaona nguvu ya huku.
kwa uandishi huo rapers wengi wa bongo umewaacha mbali sanaHahaa, naweza kuwa ghostwriter wa msanii maarufu hivi hivi, kesho nasikia bars zangu redioni, hahaaa.
Napenda sana wordplay, double decker rhymes, double entendre.
Sisi ndio tumeanzisha hayo mambo ya kuchana Bongo. Sasa hivi tumeachia vijana.
Zogo la dogo shobo, shombo la chombokwa uandishi huo rapers wengi wa bongo umewaacha mbali sana
kiranga hivi siku hizi unatumia bangi ya kisarawe au ugoro wa namtumbo???Vyuma vya Baba J, buma ka Jei Kei
Huna kukaba bei, vuma la cheichei
Danga la Darislamu
Janga kabla salamu
Mpela mpela, shuta karamu, nanga haramu
Mnyonge Hanga, zubaa bila shufaa kaa sanamu
Moto boiling point ka Jehanamu, sina hamu
Kufa hatufi, maisha zigo la chuki
Mizinga na mikuki, kama nyuki
Kaiba haiba, swahiba kaimba
Faida sikawaida,kawinda kwa inda
Vumbua mavumba, zaa toa ugumba,
Uza nyumba weka heshima bar Zanzibar kindumba
Deni unalifuga, halifungi,halimbungi
Tamthiliya kubwa, "Weep Not, Child" wa Thiong'o Ngugi