Nihurumieni mwenzenu nakufa

Nihurumieni mwenzenu nakufa

Tueleze Milioni 25 ulizoingiziwa zote ulizipeleka kwenye biashara?
 
NILISEMA TANGU PG YA KWANZA

kua hii n simu ya tecno imejihack yenyewe, kimombo wanaita Web Bot, Na hapo ndo utajua umuhm wa reCAPCHA kama kule KT, Mmeona sasa? hapa tunachat na robot, mnapoweka haya ma tecno mfukoni au kulala nayo tien lock, haya oneni matokeo yake simu imejiunga jf, Tecno waweza uweke mfukoni ipige picha chup na papuchu/gegedo huko mfukoni unaitoa ishatuma kwenye ma grp ya wasap yote mpk fb ishaweka dp na status kbsa.
 
Ni kweli. Dada Aggyjay hakupata watu wengi wa kumchangia.

Ila kuna baadhi yetu wachache ambao tunamfahamu, tulimsaidia.

Halafu yeye hakuja na ID mbadala. Alikuja na ID yake ya siku zote.
Yule dada alikuwa anahitaji % ndogo sana ya hiyo 25M.
Watu wachache wenye moyo mmewezesha apate bima.
Endeleeni na moyo huo.
 
Back
Top Bottom