Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,014
- 9,883
Wapiganaji wa Boko Haram ambao ni watiifu kwa Abubakar Shekau walivamia kambi moja ya kundi hasimu ya kundi linalojiita Dola la Kiislamu la Afrika Magharibi (ISWAP) na kusababisha makabiliano makali ya risasi ambayo yalisababisha vifo vingi
Mapigano makali ya kufyatuliana risasi kati ya makundi mawili ya itikadi kali kaskazini mashariki mwa Nigeria yamesababisha wapiganaji wengi kuuwawa
Wapiganaji wa Boko Haram waliishambulia kambi ya kijiji cha Sunnawa katika wilaya ya Abadam karibu na mpaka na Niger
Wanamgambo wa kundi la ISWAP awali waliwavamia Boko Haram katika eneo la Diffa lililoko jirani ya Nigeria ambako waliwateka nyara wanawake 13
Chanzo: DW
Mapigano makali ya kufyatuliana risasi kati ya makundi mawili ya itikadi kali kaskazini mashariki mwa Nigeria yamesababisha wapiganaji wengi kuuwawa
Wapiganaji wa Boko Haram waliishambulia kambi ya kijiji cha Sunnawa katika wilaya ya Abadam karibu na mpaka na Niger
Wanamgambo wa kundi la ISWAP awali waliwavamia Boko Haram katika eneo la Diffa lililoko jirani ya Nigeria ambako waliwateka nyara wanawake 13
Chanzo: DW