stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,840
- 22,956
Hawa jamaa sijui shida ni nini...?Alafu ni nchi yenye uchumi mzuri na miongoni mwaka nchi zenye Jeshi lenye nguvu Africa. Sijui serikali yao inakwama wapi magaidi wanateka wanawake na kuharibu vijiji daily
Sent using Jamii Forums mobile app