Nigeria: Watu 50 wauawa kwa mashambulizi ya risasi

BigTall

JF-Expert Member
Mar 9, 2022
422
1,049
Boko.JPG
Inadaiwa kuwa 50 wameuawa kwa mashambulizi yaliyotokea Mei 22, 2022 katika Mji wa Rann kwenye Jimbo la Borno Nchini Nigeria katika eneo la karibu na mpaka wa Cameroon.

Tangu mwaka 2009 Jimbo la Borno limekuwa likikabiliwa na mashambulizi ya vikundi ikiwemo Boko Haram. Mamilioni ya watu wamehama na zaidi ya 350,000 wamepoteza maisha kutokana na kushambuliwa.

Inaelezwa kundi la washambuliaji likiwa katika pikipiki walishambulia watu kwa risasi waliokuwa shambani na wengine wakawekwa mateka kisha kuanza kuwaua mmojammoja.

Chanzo France24
 
Hii dini ya hovyo ningekuwa RAIS nisingeruhusu nchini kwangu kusikia raia anaiamini.
Tatizo kwanini wahusike na hiyo dini 1 tu, kwanini hazihusiki Budhaa, Hinduism, Paganism, kuna nini haswa kiuhusiano kati ya hiyo hiyo dini 1 pekee kila kukicha na ugaidi

Alcaida, Islamic states, Boko Haram, Al Shabab, Hamas.......
 
Hii dini ya hovyo ningekuwa RAIS nisingeruhusu nchini kwangu kusikia raia anaiamini.
Rais mwenyewe inahisiwa anawasaidia kisiri na ndo maana jeshi lililopo kule juu lina sheria za kiislam sababu Nigeria inatawaliwa kwa states na wana machiefs wao ambao wana itikadi hizo.

Hapa siyo kwamba ni kisiwa cha amani bali ni nchi yenye rais mwenye madaraka 100% la sivyo tungekuwa tunaimba nyimbo zile zile.
 
Back
Top Bottom