Nifuge Kuku au Sato?

Nifuge Kuku au Sato?

Hapa ndio watu wanapigwa, too sweety to be true.

Matapeli fulani walipita kule Rukwa kiushawishi wazee wastaaf walime Pilipili kwa wingi eti zinahitajika huko Nje, Wakawauzia mbegu kwa Ahadi kwamba wasiwazw kuhusu solo, wao ndio watanunua.
Wazee wakajiunga vikindu watanunua mbegu kwa malaki na malaki, wazee wakaweka pension zao kwenye kulima mashamba na kuwatunza, Pilipili ikakubali ilipofika muda wa kuvunwa jamaa simu zao haipatikani🤣🤣
Nchi matapeli wanakingiwa kifua na serikali huku wametapeli watu wengi sana Kwa kuuziwa vijogoo vitupu.

Semina iliandaliwa vyema akialikwa diwani na kiongozi wa wilaya sijui nani nani watu wakatapeliwa saivi wanaliwa TU.
 
Kwa Jamaa wewe ni mzoefu kabisa kwenye hii Dunia vipi kama ni mafao yake?😹😹

Au ni pesa ya Dili maana nchi hii bila Dili hutoboi😂😂

Aende na kuku awekeze m3-4 TU basi nyingine atulizane kwanza

Anaweza ni pm chap tukabadilisjana nae mawazo
Duh gunia la pumba mahindi now 32 elfu kwa huko ni ngapi mkuu
 
Duh gunia la pumba mahindi now 32 elfu kwa huko ni ngapi mkuu
Kuki tuna fuga hivi mkuu
Mfano kuku chotara.

Unanunua vifaranga wako kulingana na bajaeti yako mfano vifaranga 400-500.

Chakula hatutumii pumba Bali tunanunua special kutoka silverland au makampuni mengine.

Kisha hao kuku tunalisha Kwa wiki9 TU tunaanza kuuza Kwa 13000-15000 kila kuku.

Faida utaiona akisubiri auze wakiwa na miezi5 siyo Mimi tena
 
Back
Top Bottom