Mwaka huu mmeshavuna? Vipi Hali ya solo?Ufuta.
kwan samaki wa ziwani au baharini nan anawapa chakula kama sio uchafu unapatikana binadamu kufa humo majin au uchafu unaotoka na mavi yao wenyewe ule uchafu mvua ikinyesha unaingia huko na wanaishi mr.Nasikia wanakula hadi mavi ya ngombe
Sato ni deal sana. ila kama umeisha set misingi yake vizuri ya kufanya hiyo biasharaHabarini wadau.
Nimepata kamtaji hapa ka 10m, Nina eneo la ekari mbili Mkuranga.
Enyi wajuvi.
Naombeni msaada kwenu.
Ufugaji upi unalipa kati ya samaki sato au kuku wa kisasa?
Naomba maoni yako hapa.
Chanjo zipo wala usihofu ni swala la wewe kuzingatia ratiba tu!Ninapofikiria mdondo na.mahepe unaweza kuwakimbia kuku
Alikuja wap mkuuKuna Tapeli alikuja na stori za kufunga Sungura akatushawishi kuwa hadi mmoja wa Sungura unauzwa ni dawa pia, Yule mshenzi Mungu anamuona
Eti Mkojo wa Sungura ni Mali unauzwaAlikuja wap mkuu
Hapa ndio watu wanapigwa, too sweety to be true.KWA NILIVYOFATILIA MIMI JAMAA YUKO VIZURI .NA MUDA WA KUWAVUNA HAO SAMAKI ANAKUPA OPTION YA YEYE KUKUUZIA WEWE HUNA HAJA YA KUTAFUTA SOKO!!
😃😃 ukizubaa unafnywa fursaEti Mkojo wa Sungura ni Mali unauzwa
Hapa ndio watu wanapigwa, too sweety to be true.
Matapeli fulani walipita kule Rukwa kiushawishi wazee wastaaf walime Pilipili kwa wingi eti zinahitajika huko Nje, Wakawauzia mbegu kwa Ahadi kwamba wasiwazw kuhusu solo, wao ndio watanunua.
Wazee wakajiunga vikindu watanunua mbegu kwa malaki na malaki, wazee wakaweka pension zao kwenye kulima mashamba na kuwatunza, Pilipili ikakubali ilipofika muda wa kuvunwa jamaa simu zao haipatikani[emoji1787][emoji1787]