UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,384
- 980
wadau niko kwenu hapa najaribu kufikiri kuanza UFUGAJI Sasa nawaza kuhusu UFUGAJI WA NGURUWE au kuku SASO naombeni ushauri wenu nataka kutengeneza pesa za ada mwakani.
NIKO MKOANI NA MTAJI WANGU NI LAKI TANO
NIKO MKOANI NA MTAJI WANGU NI LAKI TANO