GE2025 Niffer na wengine 97 wafunguliwa mashtaka, yakiwemo ya UHAINI kufuatia maandamano ya Oktoba 29, 2025

GE2025 Niffer na wengine 97 wafunguliwa mashtaka, yakiwemo ya UHAINI kufuatia maandamano ya Oktoba 29, 2025

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
440
Reaction score
3,211
Jamhuri yawapiga kesi ya Uhaini watanzania 97l8 kufuatilia Maandamano ya Oktoba 29, 2025.

Katika Orodha hii, yupo Mfanyabiashara maafuru Jennifer Jovin, Maarufu kama Niffer.

Kesi hizi zimepangwa kusikilizwa kwa hatua za awali kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.

====

Kutokana Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo, Ijumaa Novemba 07.2025, Mfanyabiahara Jenifer Jovin (Niffer) na wenzake wamesomewa mashtaka matatu (3) ya uhaini

Kosa la kwanza linalowahusu washtakiwa wote ambapo ni kwamba kwa pamoja wamekula njama ya kutenda kosa au kupanga uhalifu ambao ni uhaini

Kosa la pili ambalo ni la uhaini linawahusu washtakiwa 21 isipokuwa mshtakiwa mmoja pekee ambaye ni Niffer, ambapo washtakiwa walianzisha nia ya kuzuia uchaguzi Mkuu 2025, na kutishia mamlaka na wakatekeleza nia hiyo kwa kufanya vurugu zilisababisha uharibifu wa mali za umma,

Na kosa la tatu la uhaini pia linamuhusu mshtakiwa namba moja pekee ambaye ni Niffer, ambapo alihamasisha watu kuvuruga uchaguzi Mkuu 2025 na kuhamasisha umma kununua barakoa za kuzuia mabomu ya machozi kutoka dukani kwake.

1000500443.jpg


1000500418.jpg
IMG_20251107_124229.jpg
IMG_20251107_124247.jpg

Pia soma GE2025 - Jamhuri yaongeza wengine 47 kwenye kesi ya Uhaini baada ya Maandamano Oktoba 29, idadi yafikia watu 145
 

Attachments

Nimeona stakabadhi za mahakama Niffer na wengine 97 washtakiwa kwa kosa la kula njama (conspiracy to commit offence) pamoja na kosa la UHAINI.

=========
Kutokana Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo, Ijumaa Novemba 07.2025, Mfanyabiahara Jenifer Jovin (Niffer) na wenzake 97 wamesomewa mashtaka matatu (3) ya uhaini

Kosa la kwanza linalowahusu washtakiwa wote 22 ambapo ni kwamba kwa pamoja wamekula njama ya kutenda kosa au kupanga uhalifu ambao ni uhaini

Kosa la pili ambalo ni la uhaini linawahusu washtakiwa 97 isipokuwa mshtakiwa mmoja pekee ambaye ni Niffer, ambapo washtakiwa walianzisha nia ya kuzuia uchaguzi Mkuu 2025, na kutishia mamlaka na wakatekeleza nia hiyo kwa kufanya vurugu zilisababisha uharibifu wa mali za umma,

Na kosa la tatu la uhaini pia linamuhusu mshtakiwa namba moja pekee ambaye ni Niffer, ambapo alihamasisha watu kuvuruga uchaguzi Mkuu 2025 na kuhamasisha umma kununua barakoa za kuzuia mabomu ya machozi kutoka dukani kwake.

Screenshot 2025-11-07 at 12.53.33.png


Orodha nyingine:
Screenshot 2025-11-07 at 12.52.45.png

Screenshot 2025-11-07 at 12.52.58.png

Screenshot 2025-11-07 at 12.53.05.png


Mashtaka yameambatanishwa chini:
 

Attachments

Namshauri akichomoka hapa (endapo atachomoka, maana kwa sasa mahakama za bongo haziangalii vifungu vya sheria ila amri kutoka juu) afunge biashara zake Tanzania (Dar na kule Dodoma) kisha apeleke nchi zenye usalama, Kujielewa na rule of law.

Hii Tanzania ya sasa ni nchi ya kususiwa na kutelekezwa na Kila mtu mwenye akili timamu.

Kakikundi ka watu Fulani kamejipa umungu mtu, kanaamua tukiamka tunaishi vile wanataka na ikiwa kinyume wanavyotaka wanatutesa na kutuua.

Shame!
 
Namshauri akichomoka hapa(endapo atachomoka,maana kwa sasa mahakama za bongo haziangalii vifungu vya sheria ila amri kutoka juu) afunge biashara zake Tanzania(Dar na kule Dodoma) kisha apeleke nchi zenye usalama,Kujielewa na rule of law.

Hii Tanzania ya sasa ni nchi ya kususiwa na kutelekezwa na Kila mtu mwenye akili timamu.

Kakikundi ka watu Fulani kamejipa umungu mtu,kanaamua tukiamka tunaishi vile wanataka na ikiwa kinyume wanavyotaka wanatutesa na kutuua.

Shame!
Sio rahisi hivyo ukiangalia wateja wake wengi wako Tanzania

Na unajua atachukua mda gani kukaa mahabusu anaweza akaa mahabusu mpaka kutoka biashara zake zimefilisika zote na itambidi aanze upya
 
Nimeona stakabadhi za mahakama Niffer na wengine 22 washtakiwa kwa kosa la kula njama (conspiracy to commit offence) pamoja na kosa la UHAINI.

=========
Kutokana Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo, Ijumaa Novemba 07.2025, Mfanyabiahara Jenifer Jovin (Niffer) na wenzake 21 wamesomewa mashtaka matatu (3) ya uhaini

Kosa la kwanza linalowahusu washtakiwa wote 22 ambapo ni kwamba kwa pamoja wamekula njama ya kutenda kosa au kupanga uhalifu ambao ni uhaini

Kosa la pili ambalo ni la uhaini linawahusu washtakiwa 21 isipokuwa mshtakiwa mmoja pekee ambaye ni Niffer, ambapo washtakiwa walianzisha nia ya kuzuia uchaguzi Mkuu 2025, na kutishia mamlaka na wakatekeleza nia hiyo kwa kufanya vurugu zilisababisha uharibifu wa mali za umma,

Na kosa la tatu la uhaini pia linamuhusu mshtakiwa namba moja pekee ambaye ni Niffer, ambapo alihamasisha watu kuvuruga uchaguzi Mkuu 2025 na kuhamasisha umma kununua barakoa za kuzuia mabomu ya machozi kutoka dukani kwake.
Kwahiyo kuhamasisha watu wanunue barakoa ni uhaini? Basi wanaouza vilipuzi, silaha za jadi na bastola ni waahini pia maana wanahamasisha watu kuua
 
Hivi kuna kingine alichofanya huyu binti zaidi ya ile video ya challenge? Nimemuonea huruma sana
Ujinga umemponza. Aliyoa tangazo Kwenye social media ya kuwa anauza barakoa ambazo ziko.suitable Kwa maandamano, zinaficha uso na zinafanya usipate athari ya mabomu. Na Kwa upofu zaidi alianzisha WhatsApp group kuratibu biashara yake huku hajui ya kuwa miongoni mwan group member ambao aliwa recruit wamo watu wa idara Maalim.
 
Hivi kuna kingine alichofanya huyu binti zaidi ya ile video ya challenge? Nimemuonea huruma sana
Hawa walikuwa mbele ya muda walikuwa maandamano yatatokea na kwa sababu polisi walishatabiri wenyewe nini kutokea siku gen z wakiandamana (kuchoma mali za/na wanaojihusisha na sisiem) basi siku ile wamemkamata huyo Binti wakamfungulia kesi ya kuhamasisha vijana kuchoma moto vituo vya mafuta na kufanya vurugu.

Kwa ufupi sana,

polisi walikuwa "mwaka wa mbele" kutabiri maandamano yatakavyokuwa na ndiyo yalivyokuja kuwa.

Huyu Binti sijui kama atachomoka hapa.
 
07 November 2025
Mahakama ya Kisutu
Dar es Salaam

VIJANA WENGI WAFIKISHWA LEO MAHAKAMANI, MUWATAZAME MUONEKANO WAO, JE NI WAGENI ? JE NI NDUGU WALIOPOTEA ?


View: https://m.youtube.com/watch?v=p3lr6P8UXdQ

Hawa ndiyo wageni kutoka nje, watazameni vizuri muonekano wao, ni kama walikamatwa kutoka majumbani, walikurupushwa kutoka vijiweni karibu na makaazi yao n.k kutokana na mavazi yao wengine wamevaa bukta n.k

Wengi ni Wasichana kwa wavulana na vijana wafikishwa kwa mabasi ya mapya kabisa mahakama ya hakim mkazi mkuu kisutu jijini Dar es Salaam

Je unaweza kuwatambua, je ni mshikaji wako, mtu wa mtaani kwako, rafiki yako, alitoka kwenda kazini lakini hakurudi n.k
 
Jamhuri yawapiga kesi ya Uhaini watanzania 98 kufuatilia Maandamano ya Oktoba 29, 2025.

Katika Orodha hii, yupo Mfanyabiashara maafuru Jennifer Jovin, Maarufu kama Niffer.

Kesi hii imepangwa kusikilizwa kwa hatua za awali kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.

Udhalimu hauwezi kushinda haki. Tutashinda.

View attachment 3498529

View attachment 3498525View attachment 3498526View attachment 3498527

Niffer na wengine 97 wafunguliwa kesi ya Uhaini kufuatia maandamano ya Oktoba 29, 2025​


07 November 2025
Mahakama ya Kisutu
Dar es Salaam

VIDEO YA VIJANA WENGI WAFIKISHWA LEO MAHAKAMANI, MUWATAZAME MUONEKANO WAO, JE NI WAGENI ? JE NI NDUGU WALIOPOTEA ?


View: https://m.youtube.com/watch?v=p3lr6P8UXdQ

Hawa ndiyo wageni kutoka nje, watazameni vizuri muonekano wao

Hawa ndiyo wageni kutoka nje, watazameni vizuri muonekano wao, ni kama walikamatwa kutoka majumbani, walikurupushwa kutoka vijiweni karibu na makaazi yao n.k kutokana na mavazi yao wengine wamevaa bukta n.k

Wengi ni Wasichana kwa wavulana na vijana wafikishwa kwa mabasi ya mapya kabisa mahakama ya hakim mkazi mkuu kisutu jijini Dar es Salaam

Je unaweza kuwatambua, je ni mshikaji wako, mtu wa mtaani kwako, rafiki yako, alitoka kwenda kazini lakini hakurudi n.k
 
Namshauri akichomoka hapa (endapo atachomoka, maana kwa sasa mahakama za bongo haziangalii vifungu vya sheria ila amri kutoka juu) afunge biashara zake Tanzania (Dar na kule Dodoma) kisha apeleke nchi zenye usalama, Kujielewa na rule of law.

Hii Tanzania ya sasa ni nchi ya kususiwa na kutelekezwa na Kila mtu mwenye akili timamu.

Kakikundi ka watu Fulani kamejipa umungu mtu, kanaamua tukiamka tunaishi vile wanataka na ikiwa kinyume wanavyotaka wanatutesa na kutuua.

Shame!

Akitoka hapo akiomba asylum anapewa fasta mno kwa nchi zinazojua freedom of expression ni nini.
 
Back
Top Bottom