maandamano ya oktoba 29

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Sigrada Mligo: Tusipokaa vizuri yale maandamano ya tarehe 29 mwezi wa 10 yatakuja kuwa mara 800

    Mbunge wa viti maalum Mkoa wa Njombe kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Sigrada Mligo akitoa hoja Bungeni, wakati wa uwasilishwaji wa bajeti ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, leo Juni 1, 2026. Soma Pia: Sigrada Mligo: Siungi hoja ya kufanya...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Godbless Lema: Watu wa Ikulu walipiga simu wanaomba watu wa CHADEMA isaidie kutuliza maandamano

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema, amesema wakati maandamano yakiendelea Oktoba 29, Boni Yai pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Amani Golugwa, walimpigia simu na kumueleza kuwa watu kutoka Ikulu walikuwa wanataka kuzungumza na viongozi wa...
  3. F

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Chanzo cha Malalamiko na Muktadha wa Maandamano ya Oktoba 29

    Chanzo kikuu cha matukio ya Oktoba 29 kinatokana na mkusanyiko wa malalamiko ya muda mrefu ya kijamii, kiuchumi na kisiasa ambayo yalikuwa yakijadiliwa waziwazi katika mitandao ya kijamii kwa muda mrefu kabla ya siku hiyo. Maandamano hayakuwa ya ghafla, bali yalipangwa na kujadiliwa kwa uwazi...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 yawasilisha ripoti leo Aprili 23, 2026

    Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Othman Chande Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, (Maarufu tume ya Jaji Chande) inatarajiwa kuwasilisha ripoti yake rasmi leo Alhamisi, Aprili 23, 2026 kwa Rais Samia Suluhu. Siku ya Uchaguzi Mkuu, Oktoba...
  5. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Mmeshuhudia siku tatu zile. Hakukuwa na harusi, kitchen party wala mikusanyiko kwenye mabaa. Zilikuwa siku tatu nzito

    Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Aprili 21, 2026, wakati akifungua Kongamano la Kitaifa la Mamalishe na Babalishe, Rais Samia wafanyabiashara wadogo wa chakula, maarufu kama Mamalishe na Babalishe, kutambua na kulinda amani ya nchi kama nguzo kuu ya kukuza uchumi na ustawi wa shughuli zao...
  6. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Serikali itarejeshaje Imani ya Wananchi, Jumuiya ya Kimataifa baada ya Uchaguzi wa Oktoba 29, 2025?

    Vurugu zilizotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania uliofanyika Oktoba 29, 2025 zimeacha alama nzito ikiwa pamoja na kuchafua diplomasia na uhusiano wa kimataifa. Vurugu hizo zilizotokana na maandaano katika mikoa ya Dar es Salaam, Arusha, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Kilimanjaro na Njombe...
  7. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwa Mujibu wa Fr. Kitima (TEC), Kanisa Katoliki lina idadi kamili ya waliouawa kwenye Maandamano ya OKTOBA 29(VIDEO)

    Leo nimepata wasaa wa kusikiliza kwa makini maojiano na vyombo vya habari aliyoyafanya Dr Kitima na kujiridhisha pasi na shaka Kanisa Takatifu la Mitume Kanisa Katoliki na TEC wana idadi kamili ya waliouliwa kwa mtutu mnamo tarehe 29 October 2025 Katoliki mumenipata hawa masheikh ubwabwa na...
  8. The Watchman

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Habibu Mchange: Lissu na Heche ndiyo walioratibu maandamano ya Oktoba 29

    Katika kipindi cha One Against One kati ya mtangazaji nguli Chief Odemba na mwanahabari mwandamizi Habibu Mchange, Mchange amesema kuwa mwenyekiti wa Chadema na makamu wake John Heche ndio walioratibu maandamano ya Oktoba 29 siku ya uchaguzi mkuu.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Wazo: Uanzishwe mfuko wa kuchangia waathirika wa maandamano na wa vitendo vya kikatili vya dola la CCM na mfuko huo usimamiwe na UN

    Nafikiri ni wakati sahihi wa kuunda mfuko maalumu wa kuchangia waathirika wa maandamano ya Oktoba 29 na. wale wote waliiothirika na matukio yote ya kikatili yaliyofuata baada ya hapo. Lengo likiwa ni kuwashika mikono ndugu, jamaa na wanafamilia wa walipoteza wapendwa wao. Ukweli ni kwamba...
  10. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Maandamano ya Oktoba 29 yamezaa Tanzania Mpya. Kwa sasa tunafagia fagia vitakataka vilivyobakia

    Hivi Mnajua kama tusingeandamana Oktoba 29, hali ingekua mbaya kupindukia??. Target yao ílikua ni Wakishajiteua hiyo Oktoba 29 , wangeanzisha huo upuuzi wa Maridhiano, alafu kwenye huo Upuuzi wao, Wananchi Mtake au Mistake wao wangesonga mbele Kwa Jeuri na Dharau kubwa. Sasa MAANDAMANO YETU...
  11. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Huyu dada kapiga za kichwani! Ametaka iundwe tume ya kumtoa madarakani Samia, ya kufuta tume ya uchaguzi na vifo vya watu

    Huyu dada kapiga za kichwa sana kwa Samia! Tume alioiyunda Samia haina itagreti yoyote ya kufanya uchunguzi wowote kwa sababu mtu kama Said Mwema alikuwa IGP chini ya Kikwete watu walipigwa mabomu kama Docta Ulimboka, Davis Mwangosi na Mpaka leo hakuna anajua nani alifanya nani hakufanya...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Twaha Mwaipaya: Maandamano ya Oktoba 29 vijana walikuwa na hasira sana

    Maandamano ya Oktoba 29 vijana walikuwa na hasira sana na hii imetokana na serikali imekuwa ikipoka mchakato wa wananchi. Watu wamelalamika na mifumo ya uchaguzi tangu 1995 ambapo Mrema aliliamika kuibiwa kura zake, 2000 CUF pia walilamika, 2015 ndivyo hivyo 2019 katika uchaguzi wa serikali za...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maafisa Usafirishaji Pwani Wapinga Vikali Tuhuma za Uhusika Katika Vurugu za Oktoba 29

    Naona ndugu zangu wamechoka kuchafuliwa! Ila kama mnakataa kwa hiari yenu sawa lakini kama mnatumika kisiasa basi mtazidi kuharibu ============= Umoja wa Maafisa Usafirishaji Mkoa wa Pwani, umetoa tamko la kupinga na kulaani vikali tuhuma za kuhusishwa na vitendo vya vurugu, vilivyotokea Oktoba...
  14. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Jongo: Waliowashawishi kuandamana wamegeuza kibao baada ya tathmini yao

    Nimemsikiliza huyu Sheikh Jongo amesema wale walifanya ghasia wale wote wameshaushiwa kufanya hivyo na kuvunja miundombinu ya mwendokasi, wamepiga moto vituo vya mafuta visivyopungua 31 vinavyomilikiwa na mtu mmoja ambapo ni pigo
  15. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mama Lishe: Maandamano ya Oktoba 29 yametuathiri sana. vijana acheni maandamano fanyeni kazi kwa bidii

    Vijana wajasiriamali kutoka Mkoa wa Dar Es Salaam wametoa wito kwa Vijana wengine nchini kuienzi na kuilinda amani ya Tanzania na kujiepusha na ushawishi na makundi yenye kuwahamasisha kufanya vurugu na kuharibu amani, umoja na mshikamano wa Watanzania. Wito huo umetolewa majuma kadhaa baada ya...
  16. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwananchi: Tatizo serikali inachokizungumza na inachokitenda vinakinzana

    "Serikali kushindwa kutimiza baadhi ya ahadi wanazoziahidi kwa wananchi yatajwa kuwa huenda ikawa ni moja ya sababu iliyopelekea wananchi kuandamana siku ya Oktoba 29" na Tatizo serikali inachokizungumza na inachokitenda mbona vinakinzana amesema Issa Kingi
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Video zilizothibitishwa na NationForensicUnit zaonyesha polisi wakitumia nguvu kuwaua waandamanaji kwa makusudi Arusha na Dar

    video zilizothibitishwa na #NationForensicUnit ya nation zimethibitisha maeneo kamili ambako vikosi vya usalama vya Tanzania, wakiwemo baadhi waliovaa nguo za kiraia, walitumia nguvu kupita kiasi na kuwaua waandamanaji kwa makusudi katika Arusha na Dar es Salaam. (Picha zenye maudhui ya kushtua...
  18. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 TRA yatoa pole waliopata changamoto wakati wa uchaguzi mkuu

    Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda ametoa pole kwa Walipakodi, Watumishi wa TRA na Watanzania wote kwa ujumla waliopata athari mbalimbali zilizotokana na changamoto wakati wa uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025. Akiwa ziarani katika mikoa ya Kikodi...
  19. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Maandamano ya Oktoba 29, Madereva 45 wapoteza kazi Mwanza

    Maandamano haya yameweka historia mbaya sana kwa watanzania! Yamechukua roho za watu kwa watu kuuwawa, yameharibu ajira za watu, na biashara. ============ Zaidi ya Magari 34 ya usafirishaji katika Mkoa wa Mwanza yametajwa kuharibiwa baada ya kuzuka kwa vurugu za waandamani siku ya Oktoba 29 hadi...
  20. Pakome

    JamiiForums Tanzania Incitement au Solicitation, Reckless endangerment, Exploitation pamoja na Lese majesty ni makosa ya Kisheria aliyotenda Mange Kimambi

    1: Tukianza na Incitement au Solicitation aliyofanya Mange Kimambi pamoja na wahalifu wengine ni kuwa, alishawishi Digital Natives au Generation Z aka Gen Z kuvuruga nchi ya Tanzania kwa kuvunja Sheria za nchi ikiwemo kuharibu miundombinu ya Wananchi na Serikali yake (Mali za Wananchi pamoja na...
Back
Top Bottom