cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,662
- 78,136
eeeh nipo mbona na simu imekuwa kimeo muda sasaDuh kitambo sana
eeeh nipo mbona na simu imekuwa kimeo muda sasaDuh kitambo sana
Kimeo kivip tena na hausemi Sasa🤔eeeh nipo mbona na simu imekuwa kimeo muda sasa
phaller una ID mia ngapi ?
Dume Zima kama choko , sasa mada gani hizi za kuandika jitu zima halafu unajiita mwanaume?Ni habari njema. Mjasiriamali na social media maarafu wa kuuza vipodozi Niffer kaanza kuwa mweupe tena.
Watu walishaanza kukata tamaa alivyoanza kuwa mweusi alipokuwa mahabusu lakini faraja imewarudia kwa kuwa mweupe tena.
View attachment 3522381
adriz de mbusii
Weupe siyo shida zetu tunachotaka kujua akiombwa utamu huwa anatoa?Ni habari njema. Mjasiriamali na social media maarafu wa kuuza vipodozi Niffer kaanza kuwa mweupe tena.
Watu walishaanza kukata tamaa alivyoanza kuwa mweusi alipokuwa mahabusu lakini faraja imewarudia kwa kuwa mweupe tena.
View attachment 3522381
adriz de mbusii
Dah ! 🤣 🤣Ila bhangi🔥
Yaani anajiongelesha halafu anajijibuDah ! 🤣 🤣
Naonea huruma familia yake kupata hasara kubwa kuwa na jinga kama hili halafu unakuta Kuna mtu anamyita 'mpenzi' dah Wanawake wana huruma sana
Ila kusema ukweli Busu la Kenge GHAYO loose Nut Driz de Mafwele ni memba ninayemkubali sana humu.Yaani anajiongelesha halafu anajijibu
Kwa lipi😃
iNi habari njema. Mjasiriamali na social media maarafu wa kuuza vipodozi Niffer kaanza kuwa mweupe tena.
Watu walishaanza kukata tamaa alivyoanza kuwa mweusi alipokuwa mahabusu lakini faraja imewarudia kwa kuwa mweupe tena.
View attachment 3522381
adriz de mbusii
Yaani katika majina niliyoyataja Moja likitoweka na mengine yanatoweka, likirudi yote yanarudi.Kwa lipi😃
Kijana ana smoke very hard huyoYaani katika majina niliyoyataja Moja likitoweka na mengine yanatoweka, likirudi yote yanarudi.
Hii ndo kusema huyu ni binadamu mmoja.
Hili alikuwa analisema adriz da mbooz.Kijana ana smoke very hard huyo
Hakukosea basiHili alikuwa analisema adriz da mbooz.
Nadhani alibashiri na mkeka haukuchanika.Hakukosea basi