witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
HeeheeeJirani yangu alikuwa mchangamfu sana kabla sijahamia na vitu alinihifadhia yeye na vingine naazima vya ujenzi, tena akisisitiza 'hamia hivyohivyo jirani mbona poa tu?' Nimehamia kawa kauzu na ikitokea tumekutana kwa bahati ananiwekea ukuta kwa kila niliyeanza kuzoeana naye, mara huyu mnafiki huyu mbaya nk nk. I'm baffled.