Nifanyeje nirudi chumbani kwangu?

Nifanyeje nirudi chumbani kwangu?

Ukiondoka nao kitakuwa chanzo cha kuwasiliana, we beba nguo zako watoto muachie alee! Hata mm wife akisepa watoto hawezi kwenda nao lazima awaache
Ndio maana watu wenye watoto kuachana huwa ni kazi sana kila mtu hataki kukaa mbali na watoto wake matokeo yake watu wanagawana vyumba humo humo ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama mzenguaji ni mwanamme inategemea na namna mwanamke alivyokabiliana na hilo kosa la mshkaji.

Umenishika na mpango wa kando, unaniambia "siwashangai ndivyo mlivyo kwenu nyote ni malaya, mpaka mama yako" hapo tegemea ishu kukugeukia bibie
Hapo utakuwa umeoa mwanamke au aina flani ya mwanamke! Eti ndivyo mlivyo adi mama ako! Duh neno zito sana hilo
 
Picha linaanza

Jifanye unaumwa tumbo la kuhara hakikisha kajua unaumwa

Then tegea kaenda kuoga,akiwa bafuni nenda jifanye unataka ingia jisaidia

saa hiyo upo na kanga tu,ukifika TOI kaa/chuchumaa kwenye sink kama unajisaidia

kama dk 0 then inuka jitie unanawa kisha nawewe unga tela og nae,hapo wote mpo.....

wakati mnaoga ni mwendo wa kumgusa gusa tu ukiona gari lake linataka kuwaka akitaka

mwambie tumalizie kuoga kwanz twende ndani,mkiingia Ndani usirudi na chumba cha wageni

kamtunuku haki yake chumbani kwako,DEAL DONE.
 
Ha haaa hapana mkuu, siku kama hizo huwa zinakuwepo lkn sijawahi hama room, tunabanana humo humo tumenuniana hadi mmoja ajisalimishe. Kama amekosea yeye sijisalimishi yaani akikaa kimya na mie kama simjui vile

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe naweza nkakukubalia maana wewe nakujua aisee hahahaahahahah
 
Hapo utakuwa umeoa mwanamke au aina flani ya mwanamke! Eti ndivyo mlivyo adi mama ako! Duh neno zito sana hilo
Ndio hivyo.

Kwahiyo msimtie ujinga huyu mrembo, na akae atafute namna ya kumwambia jamaa sorry na aache ujuba sasa
 
kwaiyo mama john hautaki kuja chumbani unakuja kuanika siri zetu huku JF,we endelea kujichelewesha
 
Oneni wote hizo ndio akili za wanawake. Anataka lazima abembelezwe yeye. Na hapo hajasimulia yote,usishangae chanzo cha ugomvi ni yeye. Niseme kweli hili ndilo likanifanya nichepuka,nikazaa na mtoto huko,saa hizi mke anasumbuliwa na moyo baada ya kupata hiyo habari (sijafurahi kabisa kuumwa kwake,lakini alisababisha)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chibudee,
Bt yeye ndie mwenye kosa ujue
sawa yeye ndie mwenye kosa.....na ukaona adhabu yake ni kuhama chumba...sbb unajua anapenda dyudyu ukaona umkomoe.....wanawake kwanini mnafanya mambo ya kipuuzi hivi......jileweshe ulale uchi sebuleni.....hakika atakubeba.....ila ni bahati nasibu....wk 2 hujampa mzigo!!!! kuna mwenzio anakusaidia hakika....
 
Pita na kanga ikiwa chepe chepe halafu fupii, usivae nguo ya ndani jifanye umetoka bafuni yeye akiwepo chumbani, nenda alipo tafuta kitu usichokijua huku unalalamika hukioni kwa sauti zenu zile. Baada ya muda kesi itabadilika kuwa ya ubakaji na adhabu yake rudi chumbani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom