Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Ndio maana watu wenye watoto kuachana huwa ni kazi sana kila mtu hataki kukaa mbali na watoto wake matokeo yake watu wanagawana vyumba humo humo ndaniUkiondoka nao kitakuwa chanzo cha kuwasiliana, we beba nguo zako watoto muachie alee! Hata mm wife akisepa watoto hawezi kwenda nao lazima awaache
Sent using Jamii Forums mobile app
