Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Akikujibu ni tag maana wengine kama hujafika standard flani hata uwe uchi vipi tunakuangalia tu


najuaSent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu ni tag maana wengine kama hujafika standard flani hata uwe uchi vipi tunakuangalia tu


najuaNilijaribu kuvuta picha ya mwanamke anayeongea kama chiriku.Haswaaa!
Mbona umecheka? Hahaah
See????
You are the genius


na kama ni lazima mtu ahame basi atahama yeyeUnapenda kuwa singo maza, wenzio waliojifanya jeuri na kurudi makwao au kwenda kuishi nyumba nyingine kwasasa wanajuta wanatamani warudiNisingehama in the first place, siku zote huwa naamini katika mazungumzo na kama imefikia hatua ya kuhama nitahama niende kwetu kabisa na wazo la kurudi halitokuwepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wanajuta ujue walikurupuka kama mtoa mada alivyokurupuka kuhama chumba. Mimi huwa sikurupuki hata siku moja ndio maana kama umenisoma pale mwanzo nimesema naamini katika mazungumzo ukiona hadi nimefika hatua ya kuondoka basi jua nimefika point of no returnUnapenda kuwa singo maza, wenzio waliojifanya jeuri na kurudi makwao au kwenda kuishi nyumba nyingine kwasasa wanajuta wanatamani warudi
Mwanamke haombi msamaha.
We jifanye unaumwa hoi. Mgongee chumbani kwake mwambie unaumwa akupeleke hospitali. Fanya drama hapo urudi chumbani kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wanajuta ujue walikurupuka kama mtoa mada alivyokurupuka kuhama chumba. Mimi huwa sikurupuki hata siku moja ndio maana kama umenisoma pale mwanzo nimesema naamini katika mazungumzo ukiona hadi nimefika hatua ya kuondoka basi jua nimefika point of no return
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mimi huwa siamini kama kwenda kwenu ndo suluhu kwanini usiende kwetu ukanishtaki kwa wazazi wangu? Ndoa ni kuvuliana sana, kama mwanamke huna busara na kufikiria katika 3D kwa maisha ya sasa utaumia sanaKama wanajuta ujue walikurupuka kama mtoa mada alivyokurupuka kuhama chumba. Mimi huwa sikurupuki hata siku moja ndio maana kama umenisoma pale mwanzo nimesema naamini katika mazungumzo ukiona hadi nimefika hatua ya kuondoka basi jua nimefika point of no return
Sent using Jamii Forums mobile app
And why should you inter point of no return?
In a long run always things became better ....trust me, no matter how worst it was.
Kama umeshtaki kote na suluhisho halijapatikana?Na Mimi huwa siamini kama kwenda kwenu ndo suluhu kwanini usiende kwetu ukanishtaki kwa wazazi wangu? Ndoa ni kuvuliana sana, kama mwanamke huna busara na kufikiria katika 3D kwa maisha ya sasa utaumia sana
Unataka kusema mwanaume hawezi kabisa kumpotezea mwanamke aliyeko uchi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujaeleza shida ilikuwa ni nini. Nani alimkosea mwenzakeDu!! hapa hata usingizi haupiti yeye nasikia anakula mziki tu hana wasiwasi
Tumia kei yako wewe! Mimi nikiudhiwa huwa ananirudisha kwenye reli na kei. Sinaga ujanja.Nina kama wiki hivi tulitofautiana kidogo na mume wangu. Tuligombana sana ila sio ngumi inshort alinikwaza.
Sasa kwa hasira nikahamia kulala chumba cha wageni nikidhani baada ya muda atakuja kunibembeleza na kuniomba msamaha yaishe nirudi chumbani.
Du!!! Sasa wiki imekatika jamaa hata muda hana natamani kurudi chumban lakini naanzaje maana niliamisha baadhi ya nguo na pochi zangu na vipodozi vyangu aisee jamaa hana time yaani tena akiingia chumbani anafunga na funguo.
Mimi hasira zimeisha naona aibu kurudi.
Nipeni mbinu jamani nifanyeje aanze yeye kunibembeleza?
ungeingia tu ukatandika kitanda fresh ukapanda ukalala kimyaaa usiangaike kutaka ye ajishushe
Wakati anaenda kulala wewe mfuate nyuma. Hawezi kukufukuza.tunaongea vizuri ...napika tunakula wote ikifika kulala kila mmoja na chumba chake