Nifanyeje nirudi chumbani kwangu?

Nifanyeje nirudi chumbani kwangu?

Muombe msamaha

mueleze ulikosea,

jilegeze na umuambie wewe si kitu bila yeye

Mwambie hujawahi pata tabu kama ulivyokuwa ukilala pekeako,

then mwambie kuna kitu umemuandalia leo muende chumbani.

Unajua cha kufanya hapo

NB:Huyo BAHARIA kakumiss pia ila anajikaza kiume ili aone kama mwanamke utajishusha?so ukisubiri kubembelezwa utakua mjinga namba moja.
 
Yani hizo ndo zangu, aisee napenda kweli kususa na kuhama chumba, ila mwenzio huwa nabembelezwa atakuja hata mara 10 mpaka ahakikishe usiku hauishi nimerudi chumbani kwetu, sometimes najiuliza siku asiponifata sijui itakuaje
Usipofuatwa ndiyo utajipeleka mwenyewe kuchinjwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina kama wiki hivi tulitofautiana kidogo na mume wangu. Tuligombana sana ila sio ngumi inshort alinikwaza.

Sasa kwa hasira nikahamia kulala chumba cha wageni nikidhani baada ya muda atakuja kunibembeleza na kuniomba msamaha yaishe nirudi chumbani.

Du!!! Sasa wiki imekatika jamaa hata muda hana natamani kurudi chumban lakini naanzaje maana niliamisha baadhi ya nguo na pochi zangu na vipodozi vyangu aisee jamaa hana time yaani tena akiingia chumbani anafunga na funguo.

Mimi hasira zimeisha naona aibu kurudi.

Nipeni mbinu jamani nifanyeje aanze yeye kunibembeleza?
Huyo ni mumeo mwombe msamaha atakwelewa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina kama wiki hivi tulitofautiana kidogo na mume wangu. Tuligombana sana ila sio ngumi inshort alinikwaza.

Sasa kwa hasira nikahamia kulala chumba cha wageni nikidhani baada ya muda atakuja kunibembeleza na kuniomba msamaha yaishe nirudi chumbani.

Du!!! Sasa wiki imekatika jamaa hata muda hana natamani kurudi chumban lakini naanzaje maana niliamisha baadhi ya nguo na pochi zangu na vipodozi vyangu aisee jamaa hana time yaani tena akiingia chumbani anafunga na funguo.

Mimi hasira zimeisha naona aibu kurudi.

Nipeni mbinu jamani nifanyeje aanze yeye kunibembeleza?
tafuta wageni waje walale kwenu, atakuhamishia chumbani mwenyewe
 
Ukifanikiwa kurudi chumban utatiwa vzr wew

Sent from my TECNO LC6 using Tapatalk
 
Hahahahahaahahhahahhahh

Mtie ujinga tu mwenzio wewe unalala nao daily na ukiamka upo nao karibu
Ha haaa hapana mkuu, siku kama hizo huwa zinakuwepo lkn sijawahi hama room, tunabanana humo humo tumenuniana hadi mmoja ajisalimishe. Kama amekosea yeye sijisalimishi yaani akikaa kimya na mie kama simjui vile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hv jaman itakua kweli haumii, hajanimis? au turn kauzu??? inamaana ikufika usiku hanimis kabisa???
 
Du!! hapa hata usingizi haupiti yeye nasikia anakula mziki tu hana wasiwasi
Kosa kubwa sana ulilolifanya ni kuhama chumban, jamaa ametafsiri km dharau na ulikuwa huenjoy kuwa naye chumba kimoja. Umechukua uamuzi wa kitoto. Subiri giza liingie then rudi,.muda wa kulala anza kuchezea mtalimbo muda unapigwa fimbo unamueleza ulihama kwasababu ya hasira tu, then yanaisha. Next time usirudie tena, pumbafff

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom