Nifanyeje nirudi chumbani kwangu?

Nifanyeje nirudi chumbani kwangu?

Ikifika jioni mapema nenda kalale ,akiwa sebuleni toka mbio nenda fanya kama unatapika ukitoka huko umetepeta, mara 2 na yatatu hamia chooni trips 3 na tafuta na dawa kabisa hata utoke uwe unaenda hosp lazima majeshi yakae sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole... Muombe msamaha yaishe.maana wewe ndo ulikosea kuhama chumba
Nina kama wiki hivi tulitofautiana kidogo na mume wangu. Tuligombana sana ila sio ngumi inshort alinikwaza.

Sasa kwa hasira nikahamia kulala chumba cha wageni nikidhani baada ya muda atakuja kunibembeleza na kuniomba msamaha yaishe nirudi chumbani.

Du!!! Sasa wiki imekatika jamaa hata muda hana natamani kurudi chumban lakini naanzaje maana niliamisha baadhi ya nguo na pochi zangu na vipodozi vyangu aisee jamaa hana time yaani tena akiingia chumbani anafunga na funguo.

Mimi hasira zimeisha naona aibu kurudi.

Nipeni mbinu jamani nifanyeje aanze yeye kunibembeleza?
 
Nina kama wiki hivi tulitofautiana kidogo na mume wangu. Tuligombana sana ila sio ngumi inshort alinikwaza.

Sasa kwa hasira nikahamia kulala chumba cha wageni nikidhani baada ya muda atakuja kunibembeleza na kuniomba msamaha yaishe nirudi chumbani.

Du!!! Sasa wiki imekatika jamaa hata muda hana natamani kurudi chumban lakini naanzaje maana niliamisha baadhi ya nguo na pochi zangu na vipodozi vyangu aisee jamaa hana time yaani tena akiingia chumbani anafunga na funguo.

Mimi hasira zimeisha naona aibu kurudi.

Nipeni mbinu jamani nifanyeje aanze yeye kunibembeleza?
Rudi tu acha kujiona nunda wakati umetolewa mahali
 
Nina kama wiki hivi tulitofautiana kidogo na mume wangu. Tuligombana sana ila sio ngumi inshort alinikwaza.

Sasa kwa hasira nikahamia kulala chumba cha wageni nikidhani baada ya muda atakuja kunibembeleza na kuniomba msamaha yaishe nirudi chumbani.

Du!!! Sasa wiki imekatika jamaa hata muda hana natamani kurudi chumban lakini naanzaje maana niliamisha baadhi ya nguo na pochi zangu na vipodozi vyangu aisee jamaa hana time yaani tena akiingia chumbani anafunga na funguo.

Mimi hasira zimeisha naona aibu kurudi.

Nipeni mbinu jamani nifanyeje aanze yeye kunibembeleza?
Sasa mambo yetu mpaka uje uyaseme huku?? Umewaeleza na makosa yako lkn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani hizo ndo zangu, 😂 😂 aisee napenda kweli kususa na kuhama chumba, ila mwenzio huwa nabembelezwa atakuja hata mara 10 mpaka ahakikishe usiku hauishi nimerudi chumbani kwetu, sometimes najiuliza siku asiponifata sijui itakuaje 😂😂
 
ila ungetuambia kosa lake tungejua zaidi jinsi ya kukushauri, mana umesema kosa ni lake, kama ni lake kweli ilitakiwa yy ndo ajishushe yaishe, lakini ukisema uyaache tu yapite hv hv bila mazungumzo ataendelea, hawa wanaume bwana usipoonyesha msimamo mapema trust me hakuna rangi hawatakuonyesha mana wanapenda sana kutingisha kiberiti ili wajue jinsi ya kukupelekesha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom