Nifanyeje nirudi chumbani kwangu?

Nifanyeje nirudi chumbani kwangu?

Tatizo ni hizi zama za haki sawa, mwanamke akipeleka hili neno haki sawa kwenye ndoa hapo hakuna ndoa vinginevyo mwanaume asiliti uanaume wake ajishushe tu awe ndo ameolewa, Zamani hizo hakuna hili neno so mwanamke akishaolewa anajua neno moja ndoa ni uvumilivu japo na wanaume wengine walizidi kipimo pia

Sent using Jamii Forums mobile app
cc: Mishil
 
Kama kakosea yeye na haoni sababu ya kujirudi kwa mkewe akafikiria labda alimuumiza wacha waongee yaishe aisee uyo mwanaume yupo tu kwene ndoa basi kwa vile alioa hana namna anashindwa kutoka, vumilia ilo ni fungu lako.....lakini ungeingia tu ukatandika kitanda fresh ukapanda ukalala kimyaaa usiangaike kutaka ye ajishushe
Hao wanandoa inaonekana wanagombana Mara kwa Mara, na hawaaminiani, hafu nahisi mwanamke anawivu unamfanya akurupuke kutoa maamuzi
 
Kama nyumba mnaishi wenyewe mbake jamaa hapo sebuleni, au mtegeshe wakati anaenda kuonga akiingia bafuni fanya na ww unataka kuoga kuna sehemu unawahi so kama imekuwa lazima fulani muoge wote maana hautaweza kusubiri amalize, hiyo ni foul ndani ya box lazima itawekwa penati jamaa atakula mzigo ndo kihivyo unarudi mdogo mdogo halafu vitu unarudisha moja moja

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kusema mwanaume hawezi kabisa kumpotezea mwanamke aliyeko uchi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom