Kiagoh92
Senior Member
- Feb 23, 2018
- 101
- 56
HahHahahahaUsikute anataka akacheze hizo beko sijui na mzuka mzuka.
HahHahahahaUsikute anataka akacheze hizo beko sijui na mzuka mzuka.
Mmmhhhh.......Ungekuwa nav
mawazo ya kibiashara ningefikiria namna ya kukukopesha..!
Kaa fikiria unataka kufanya nini fanya upembuzi yakinifu juu ya kitu unachitaka kufanya kisha nitafute unishawishi nitakukopesha ila hakikisha usije na porojo bila kunithibitishia uhakika wa wazo lako.
Pia km kuna wengine wanaotamani msaada nitafuteni.
ANGALIZO: Ni vyema uwe na kazi/biashara inayojulikana ukichukua mkopo uingie kwenye mzunguko.
Tudundishane jinsi ya kuizalisha bas maana wengine huku hiyo hela inaishia baa kwa siku mojaNi pesa nyingi sana hiyo.
Mtaji mbona unaitikia hapo, hiyo smart phone uliyo nayo ni mtaji tosha, uza simu Yako hakika utapata huo mtaji unaouhitaji, kisha fanya hiyo biashara ukipata faida utanunua simu nyingine km ni muhimu sana kwako.Real am telling you mkuu nilinunua mzigo wa 12500. Nikatengeneza jumla 64000 nikatoa hela ya kununulia mzigo 12500 nikabakiwa na faida 51500
Chukua elfu 50000 Nenda kazichenchi bank upate shilingi kaa barabaran uuze chenchi HahahhahaaTudundishane jinsi ya kuizalisha bas maana wengine huku hiyo hela inaishia baa kwa siku moja
Kwa biashara gani mkuu?Elfu hamsini naweza kukutengenezea faida ya laki 1500000 kwa week
Alafu wewe!Chukua elfu 50000 Nenda kazichenchi bank upate shilingi kaa barabaran uuze chenchi Hahahhahaa
Au aiweke rehani, akishazalisha hiyo mifaida arudishe cha Watu achukue simu yake.Guuud idea
Uza simu yako kama kwa wiki ukipata hyo faida ya laki na nusu nunua smartphone nyngine wakat mtaji ukiendelea kuwa nao.
Kama anayoyasema mleta uziLilikuwa linahusu nini
Kwamba unatafuta mtaji ama?Kama anayoyasema mleta uzi
Huyu anaweza akakimbia na mtaji wote,hapa watu ndipo wanapokosea et anasema kabisa anaomba kazi I'll spate mtaji wa kuanzisha kitu flani, kwa namna hii ni ishu kupata kaziUkipata mtaji ukimbie kazi sio..
Kwa kubet au? Hebu elezea vzr unaweza ukanishawishi tukafanya investmentElfu hamsini naweza kukutengenezea faida ya laki 1500000 kwa week
Mzigo wa nn?Real am telling you mkuu nilinunua mzigo wa 12500. Nikatengeneza jumla 64000 nikatoa hela ya kununulia mzigo 12500 nikabakiwa na faida 51500