Hakuna zuri duniani. Kama hukurupuki bali unajibu baada ya kulifikiria swali na kufanyi tafakuri-basi usiwe na wasiwasi, hiyo inakusaidia na walimu wengi pamoja na maprof hupenda vijana wenye tabia kama hiyo.Nasoma lakini katika kusoma kwangu nimezoea kujibu jibu maswali hadi inafika muda mwalimu ananiambia nipumzike lakini sio kusema kwamba wengine hawajui sijui kwao ni hofu kujibu au hawajisikii lakini sio kusema kwamba hawaelewi wanaelewa ila hawataki kuparticipate.
Sasa naona kama wananiona nina kiherehere kujiona naelewa sana, nina mpango wa kukauka class yaani nisiwe na jibu na mimi. Maana unajibu sana mtihani wanakupita kama so flani hivi hahaha.